Wednesday, September 11, 2013

KATIKA ulimwengu wa mastaa wa Kibongo, kuna vijimambo kibao mojawapo ni wale wa kike kujiingiza kwenye mapenzi na kudanganywa kilaini kisha kushiriki mchezo wa kikubwa bila usalama (kinga).Matokeo yake ni kuzalishwa na kuachwa solemba na sasa wanalea watoto wao wenyewe bila baba zao. Unajua sababu? Ni ileile, yaani kupenda maisha ya ghali wakati hawana uwezo hivyo kujikuta wakijinasua kwa...
  Baada ya miaka miwili ya mipango na  ujenzi, hatimaye jumba la kifahari la mcheza  kikapu mwenye mafanikio na jina  kubwa kutoka marekani, Michael Jordan   limekamilika. Mansion   hiyo iliyojengwa South Florida   imekamilika ikiwa na thamani  ya dola za kimarekani 12.4 milioni. Ona picha zaidi za Mansion hiyo:   Michael...
True Fans Kwenye Kili Music Tour Kahama  Wakipata Show Ya Ukweli, Ilifanyika Uwanja wa  Taifa Wa Kahama, Next Ni Dar Es Salaam.           Recho na madansa wake  katika steji ya Kili Music Tour Kahama   Ben Pol na Alice wakiimba wimbo wao mpya wa Waubani                                 ...
Farid Kubanda alias Fid Q aka Ngosha The Don, he’s a real Hip Hop super star hapa Bongo baada ya mangoma yake kibao ku-bang kwa hewa. Fid Q decided kuanzisha darasa la Hip Hop kwa lengo la kuwapa skillz wasanii katika utungaji pamoja na kufokafoka. Lakini wakati Kubanda akiwa kwenye mission yake mwenye nyumba aliamua kumpiga bonge la boot na kumwonyesha mlango wa kutokea fastafasta. Kweli...
Mwanadada anayefanya vizuri sana kwenye muziki na filamu,baby Madaha amelamba bingo ya uhakika na kampuni ya Candy n’ Candy Records Label ya jijini Nairobi iliyomsainisha mkataba msanii mwingine wa Tanzania Mr.Nice hivi karibuni. Akizungumza kwa simu na bongomovies leo meneja wa msanii huyo  Joe Kariuki amesema kuwa  pamoja na msanii huyo kupewa mkataba huo wa million hamsini...
 Mkurugenzi wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta', ambaye pia ni Mjumbe wa Nec CCM, Asha Baraka, akiwaka wakati akizungumza  na mtandao huu jana jioni alipokuwa akisimamia zoezi la kuwazuia wabomoaji kutobomoa nyumba na vibanda vya wananchi katika eneo hilo la Hanansifu bila kufikia muafaka kwa mazungumzo na wahusika. Zoezi hilo la kubomoa eneo hilo ili kujengwa barabara...

waliotembelea blog