Friday, May 29, 2015

Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba . PICHA NA SUPER D BOXING NEWS Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi ya May 30 utakaofanyika katika ukumbi...
Sepp Blatter ametetea vyema kiti chake cha Urais wa FIFA kwa mara ya 5 baada ya kushinda Uchaguzi uliofanyika Leo huko Uswisi baada ya Mpinzani wake kutoka Jordan kusalimu amri katika Raundi ya pili ya Kura. Ushindi huu wa Blatter umekuja baada ya kugubikwa na Kashfa ya Rushwa iliyotokana na hatua ya Marekani kufungua Mashitaka kwa Maafisa wa FIFA kwa tuhuma za rushwa Siku moja tu kabla...
Jumamosi Mei 30, Uwanjani Wembley, Jijini London kuanzia Saa 1 na Nusu Usiku, Arsenal na Aston Villa zitagombea FA CUP kwenye Fainali na tayari vijembe vishaanza kutembea. Mchezaji wa Aston Villa, Ashley Westwood, ameonya kuwa Wachezaji wa Arsenal hivi sasa hawapati usingizi kwa kumwota Straika hatari wa Villa Christian Benteke. Benteke ni Straika wa Ubelgiji mwenye Miaka 24 na ameshapiga...
Dkt Fidelis Owenya akikabidhi jezi kwa vilabu nane vilivyo fuzu kucheza hatua ya robo fainali katika mashindano ya kombe la Mbunge lijulikanalo kama Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini. Jezi maalumu kwa ajili ya timu zilizo fuzu hatua ya robo fainali katika mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015. ...
Wachezaji wa Arsenal akiwemo  Robert Pires wajifanya mazoezi yao tayari kwa Fainali ya kesho jumamosi dhidi ya Aston Villa kwenye FA Cup Walcott anataraja kufanya vyema zaidi ya Olivier Giroud Wembley baada ya kupiga hat-trick dhidi ya West Bromwiki iliyopita. Mesut Ozil akimiliki mpira Meneja Arsene Wenger akimcheki kijana wake  Alexis Sanchez wakati wa mazoezi huko London...
Sepp Blatter akiongeaTaswiraMichel Patini nae ndani kwenye Mkutano huo wa 65 wa FIFA 2015Sepp Blatter akiongeaMwenyekiti Roger Neininger FiFa Financial Director MarkusGreg Dyke mwenyekiti wa chama cha mpira EnglandSepp Blatter akiendelea kuongea  ...
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Mkewe Mama Asha Bilal, wakiteremka kwenye Ndege walipowasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Nnamdi Azikiwe Abuja kwa ajili ya kuhudhuria sherehe ya kuapishwa Rais Mohammadu Buhari iliyofanyika leo May 29,2015 katika Uwanja wa Ego Squar mjini Abuja Nigeria. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

waliotembelea blog