TP
Mazembe tayati imetua mjini Tunis, Tunisia kwa ajili ya Fainali ya
kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji Sfaxien kesho
ikiwa na washambuliaji wawili wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally
Samatta na Thomas Emanuel Ulimwengu. Ulimwengu na Samatta waliicheza
Tanzania, Taifa Stars Jumanne mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe
ulioisha kwa sare ya bila kufungana Uwanja wa...
Saturday, November 23, 2013



WAKATI Manchester United inashinda mataji na heshima binafsi za wachezaji wanakuwepo pia.
Na
mambo hayakuwa tofauti Uwanja wa Old Trafford siku ya Alhamisi usiku
baada ya wachezaji na viongozi kuitikitia wito wa chakula cha usiku cha
UNICEF.
Suited
and booted: Manchester United players, including (from left to right)
Ashley Young, Rio Ferdinand, Anderson, Wilfried Zaha and Shinji...



Wanamuziki
kutoka Nigeria, Paul Okoye wa kwanza kulia, akizungumza na waandishi wa
habari (hawako pichani) kuhusu tamasha watakalolifanya kesho Jumamosi.
Novemba 23 katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Wa
pili kulia ni Peter Okoye ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P Square,
wakiwa na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom
Tanzania, Kelvin Twisa ambao ni wadhamini wa wasanii...



Wanamuziki
wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa
kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina
Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na
East Africa Radio na EATV.
Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea.
Vijana...



Ikiwa imebaki siku moja tu kabla ya show ya kihistoria inayosubiriwa na
wengi kufanyika ndani ya viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam,
tayari jukwaa litakalotumiwa na wasanii wanne kutoka hapa nyumbani na
wale wakali wa kulishambulia jukwaa barani Afrika P~Square lipo katika
maandalizi ya mwisho mwisho pamoja na kufunga mziki.
Jukwaa lina sehemu tatu za kupandia...


Kundi la P-Square la nchini Nigeria ambalo huundwa na mapacha Peter
na Paul Okoye, leo limekutana na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa
mikutano uliopo katika hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es
Salaam kuzungumzia show yake ya Jumamosi hii Leaders Club.
.
P-Square wakiwa kwenye picha ya pamoja na wasanii...
Subscribe to:
Posts (Atom)