Tuesday, June 2, 2015

Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho, amekanusha habari hizo. Katika Msimu wake wa kwanza na Chelsea ambao ulimalizika Majuzi, Costa alipiga Bao 20 za Ligi Kuu England na kuiwezesha Klabu hiyo kutwaa Ubingwa. Costa, ambae alijiunga na Chelsea mwanzoni mwa Msimu huu uliokwisha kwa Dau la Euro Milioni 40,...
Klabu ya Manchester United inaamini iko katika nafasi nzuri ya kumsajili Dani Alves kutoka Barcelona iwapo kocha Louis Van Gaal anataka kumsajili beki huyo wa kulia.Alves atakuwa hana mkataba mwishoni mwa msimu huu na Barcelona iko tayari kumwachilia beki huyo wa miaka 32 kuondoka baada ya mechi ya fainali ya vilabu bingwa Ulaya dhidi ya Juventus siku ya jumamosi mjini Berlin.Klabu ya...
Sepp Blatter, ambae alikuwa Rais wa FIFA kwa Miaka 17, ametangaza kuwa atajiuzulu wadhifa wake. Uamuzi huu unafuatia Shirikisho hilo la Soka Duniani kuandamwa na kashfa ya rushwa ambayo ilipamba moto baada ya Marekani kufungua Mashitaka kwa Maafisa kadhaa wa juu wa FIFA. Blatter amesema ataitisha haraka iwezekanavyo Kongresi ya FIFA ili kuchagua Rais mpya baada ya yeye kukiri hana sapoti...
KWA MARA YA KWANZA SHOW YA AINA YAKE KATI YA WANA NDUGU WAWILI ALI NA ABDU KIBA ITAFANYIKA WASHINGTON DMV,JUMAMOSI HII PALE FIRE STATION 1, 8131,GEORGIA AVENUE,DOWN TOWN SILVER SPRING,VIP PACKAGE ZINAPATIKANA,FREE PARKING...
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni....
MWILI WA MAREHEMU MZEE SAMWELI NTAMBALA LWANGISA WAPOKELEWA BUKOBA, MAJONZI YATANDA KWA WANABUKOBA. Gari maalum kutoka Nchini Uganda lililobeba Mwili wa Mzee Samwel Ntambala Lwangisa ukiingia Bukoba. Picha na Innocent Rwezaula/Bukoba Mwili wa Marehemu Samuel Ntambala Luangisa uliwasili usiku wa kumkia leo katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Mauti yalimkuta akiwa Nchini Marekani na...

waliotembelea blog