Wednesday, June 4, 2014

Rais Roussef ametetea vikali maandalizi ya kombe la dunia Brazil Rais wa Brazil Dilma Rousseff ametetea jinsi ambavyo taifa lake limetayarisha Kombe la Dunia litakaloanza juma lijalo jijini Sao Paulo. ...
GROUP A BRAZIL CROATIA MEXICO CAMEROON GROUP B SPAIN HOLLAND CHILE AUSTRALIA GROUP C COLOMBIA IVORY COAST GREECE JAPAN GROUP D URUGUAY COSTA RICA ENGLAND ITALY GROUP E SWITZERLAND ECUADOR FRANCE HONDURAS GROUP...
Wachungaji wakiongoza ibada ya kumuaga marehemu Mweisigwa Blandesi aliyekuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Oakland, California iliyofanyika siku ya Jumamosi May 31, 2014 Oakland, California..  Balozi wa Heshima Bwn. Ahmed Issa akiongea machache jinsi gani alivyokuwa anamfahamu marehemu kwenye ibada ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Balnde  iliyofanyika siku ya Jumamosi...
Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea na viongozi wa Jumiya za Kitanzania zilizopo Toronto, Canada siku ya Ijumaa May 30, 2014. Rais Dkt Jakaya Kikwete alikuwa Canada wiki iliyopita kuhudhuria kikao cha “Improving the Lives of Women and Children: Maternal, Newborn and Child Health “ Viongozi wa ZANCANA walipata fulsa ya kumweleza Mheshimiwa Rais Jumuiya yao inavyojitahidi kusaidia nyumbani...
Smithsonian’s National Museum of African Art picha katika  maadhimisho ya kutimiaza miaka 50 tangu kufungiliwa kwa Museum hiyo iliopo Mjini Washington, DC National Museum of African Art siku ya Jumanne June 3, 2014 wamesherehekea maadhimisho ya kutimiaza miaka 50 tangu kufungiliwa kwa Smithsonian’s National Museum of African Art, Mjini Washington, DC Sharehe hizo zilianza...
Je unafahamu kuwa...Waamuzi 25 wa FIFA watachezesha mechi za Kombe la Dunia. Waamuzi hao wanatoka katika mabara yote sita, na wote watachezesha angalau mechi isiyopungua moja. Waamuzi hao na wasaidizi wao watakuwa wakifuatiliwa kwa karibu na kupewa kila msaada wanaohitaji na FIFA ili waweze kuchezesha kwa haki.Afrika kupitia CAF inawakilishwa na Noumandiez Doué...

waliotembelea blog