Rais
wa klabu ya Simba,Evans Aveva akizungumza mbele ya Waandishi wa habari
kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),kuwatambulisha katibu mkuu
mpya wa klabu ya Simba bwana Patrick Kahemele (mwisho kushoto) na kocha
mkuu mpya Joseph Omog (pichani kati) ambae ni raia wa Cameroon.Kocha
Omog aliwasili jana usiku hapa jijini..
Pichani
wa tatu kulia ni Katibu mkuu mpya wa Simba...
Friday, July 1, 2016


Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli
(kushoto) akiwapungia wananchi wakati alipomkaribisha Mke wa Rais wa
Rwanda Mama Janeth Kagame katika Ofisi zake wakati wa Ziara ya Rais wa
Rwanda Mh. Paul Kagame mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais wa Rwanda Bi. Janeth Kagame (kushoto) akisaini kitabu cha
wageni wakati alipotembelea ofisi za mke wa...


Bado headlines za mechi kati ya Dar es Salaam Young Africans dhidi ya TP Mazembe iliyochezwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kumalizika kwa Yanga kupoteza kwa goli 1-0 inazidi kuchukua headlines, kutokana na kitendo cha Yanga kuamua mechi hiyo mashabiki waingie bure uwanjani.
Kitendo...
Subscribe to:
Posts (Atom)