.jpg)
Mkurugenzi
wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati
ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary leo katika
makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel
Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha
Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya .Airtel imekabidhi magari matatu
katika hafla hiyo. KAMPUNI
Ya simu...