Saturday, October 19, 2013

STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu Stori: Gladness Mallya STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amekiri kuwa huwa anatumia sigara ‘fegi’ ili kuondoa mawazo. Wema alifunguka hayo juzikati kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa na Runinga ya East Africa ambapo alikuwa akifungukia maisha yake likiwemo suala hilo la kuvuta sigara. “Huwa navuta sigara pindi ninapokuwa...
TATIZO la ujangili ambalo limekuwa sugu nchini kwa muda mrefu sasa linaanza kupata dawa, baada ya Serikali kutangaza ‘Operesheni Tokomeza’ itakayotumia mbinu za kijeshi.SOMA ZAIDI..........Katika operesheni hiyo inayotekelezwa kwa awamu, ndege za kivita zisizokuwa na marubani (Drones), zitatumika katika kufanikisha vita hiyo, iliyolenga kunusuru wimbi la wanyama kuuawa.   Akizungumza...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama vifaru na silaha nyingine za kivita wakati alipotembelea banda la kunadi silaha mbalimbali za kivita zinazotengenezwa na kampuni ya NORINCO nje kidogo ya Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 18, 2013. SOMA ZAIDI........ Waziri Mkuu, Mizengo pinda akizungumza baada ya kutembelea kampuni ya Aluminium Corporation of China ,...
Msanii wa HipHop mwenye mashahiri yenye maneno yanayolenga mastaa tofauti tofauti nchini ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Salamu Zao’ Nay wa Mitego, ameingizwa kwenye vipengele viwili kwenye tuzo zitakazofanyika nchini Kenya November 23 mwaka huu. SOMA ZAIDI......  “Thnx kwa mashabiki na media zote zina nazo sapoti muziki wangu #966. Nimeingia katika...
Mechi kali ikibwa kati ya Manchester United VS Arsenal katika viwanja vya Leaders Club ikiwa ni Serengeti Fiesta Soccer Bonanza 2013 katika kuelekea Serengeti Fiesta 2013 siku ya Jumamosi 26 October 2013 --> Noma Saana!! TWENZETU ...
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Daniel Sturridge amefichua hisia zake kwa nyota wa muziki wa Pop Rihanna . Katika Interview moja aliyoifanya kwenye jarida la rapa wa marekani Jay Z, Sturridge alizungumzia usajili wake toka Chelsea kwenda Liverpool na pia maisha yake ya Mapenzi na zaidi alizungumza kumhusu Rihanna . Soma maneno yake hapa......
MNENGUAJI wa kiume wa Mashujaa Band, Juma Nyamwela (Nyamwela Jr) amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume wa umri wa miaka sita.Kwa sasa mnenguaji huyo yupo kituo cha polisi cha Mabatini Kijitonyama jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku ya tatu tangu akamatwe kwa tuhuma hizo.Habari za uhakika kutoka kituoni hapo...
Duniani kuna maajabu mengi,kati ya maajabu hayo ni huu mgahawa uitwao Rock uliopo visiwani Zanzibar uliojengwa juu ya mwamba mkubwa katika bahari ya Hindi. ANGALIA PICHA ZAIDI......... Mgahawa huo ulifunguliwa rasmi mwaka jana na kuna viti 45 ambapo wateja huchukuliwa na boti maalum kutoka pwani hadi kupata huduma katika mgahawa huo ili wasikanyage maji wakati wakiingia kwenye mgahawa...
Titica Mwanamke huyu  kwa jina akijulikana kama  Titica, amekuwa ni gumzo kubwa nchini Angola.  Siku chache zilizopita UNAIDS ilimpa heshima  mwanamke huyu aliyejibadili jinsia kuwa  Balozi wake. Alizaliwa Luanda kama Teca Miguel Garcia,  akiwa muimbaji na mchezaji, Titica alibadili  maumbile yake miaka minne iliyopita mara  baaada...
Kukamatwa kwa washukiwa 11 wa al-Shabaab waliokuwa wakifanya mafunzo ya kijeshi katika mkoa wa Mtwara mapema mwezi huu kumeibua wasiwasi miongoni mwa wachambuzi wa usalama na maofisa kwamba kikundi hicho cha wanamgambo kinajaribu kudanganya walalamikaji wa Tanzania katika jitihada za kupanua eneo lake la ushawishi. Picha ya skirini ya video ya lugha ya Kiswahili iliyotolewa na Al-Kataib,...
MALALAMIKO JUU YA MENEJIMENTI YA CHUO CHA KUMBUKUMBUKU YA MWALIMU NYERERE 1. SHERIA YA UANZISHWAJI CHUO Mh. Waziri Mkuu, sheria iliyopo ya uanzishwaji wa chuo inamapungufu kadha, ambayo yanatakiwa kufanyiwa marekebisho. Mapungufu hayo ni: i. Sheria haitaji sifa za mkuu wa chuo aweje ii. Sheria haitaji sifa za Makamu Mkuu wa Chuo iii. Sheria haitaji sifa za Msajili wa Chuo iv....

waliotembelea blog