Huyu ni mwimbaji Mrembo kutoka Mauritius aliyefanya watu waenjoy zaidi kwa kutoa burudani kwenye stage
Ni utaratibu ulioanza mwaka 2014 kwa kampuni ya Multichoice kukutana
na Waandishi wa habari/Watangazaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika
kuonyesha na kuyazungumzia kwa...
Thursday, September 3, 2015


…
Dereva mahiri wa mbio za magari ya Formula 1 Lewis Hamilton amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Rihanna kwa zaidi ya mwezi sasa, toka zile picha za wao kuonekana pamoja katika tamasha linalofanyika kila mwaka Barbados ziingie katika headlines, wengi wamekuwa wakiamini kuwa kuna...


Drogba ni mmoja wa mastaa wakubwa Afrika na hata soka la Ulaya,
Novemba mwaka huu anatarajia kuzindua kitabu kitakachozungumzia maisha
yake kwa ujumla.
Akiwa na miaka yake 37 mshambuliaji huyo ameahidi kutoa kitabu hicho
ambacho kitazungumzia pia na maisha yake akiwa Ufaransa, umuhimu wa
elimu, jinsi ya kutafuta mafanikio katika maisha.
Pia...



Kampuni
ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, ambayo ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu
ya mpira wa miguu Tanzania bara leo imekabbidhi vifaa kwa timu
zinazoshiriki ligi hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 490,00,000.
Akikabidhi vifaa hivyo leo jijini Dar es salaam, Mkuu wa Kitengo cha
Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Kelvin Twisa alsiema kuwa kwa mara
nyingine tena katika kuhakikisha ligi...
Subscribe to:
Posts (Atom)