3-0!!Wachezaji wa Real wakimpongeza mwenzao Karim Benzema baada ya kufunga bao la tatu kipindi cha kwanza cha dakika 45.Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake la kwanza...
Bao la tatu lilifungwa na Karim Benzema
tena baada ya kupigwa kona na Pepe kujitwisha kichwa kwenye eneo hatari
ndani ya box na hatimae Karim Benzema kuupata na kuusindikiza langoni
mwa Liverpool na kumfunga kipa Mignolet...
Wednesday, October 22, 2014


Dakika za lala salama dakika ya 89 Gibbs
ndie aliyeisawazishia bao Arsenal na kufanya 1-1 hapo hapo kwenye
dakika za nyongeza Lukas Podolski alifunga bao la Ushindi na kufanya
2-1 dhidi ya RSC Anderlecht .Dakika
ya 71 kipindi cha pili Arsenal walifungwa bao na mchezaji Andy Najar
baada ya kupata krosi kama kona kutoka kwa Dennis Praet na kujitwisha
kichwa na kumfunga kipa wa Arsenal.Andy...


MSANII
wa Muziki wa Kizazi kipya nchini,Naseeb Abdul maarufu kama Diamond
Platnumz anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya
kuonekana na mavazi halisi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika
Tamasha la Fiesta lililofanyika jijini Dar mwishoni mwa wiki.
Diamond amejikuta akifikia hatua hiyo
ikiwa ni siku moja tu baada ya Meneja wake Babu Tale kamatwa na jana kwa
kuhojiwa...



NeymaJr aliendeleza tabia
yake ya kufunga, huku Lionel Messi akiendelea kushindana na Cristiano
Ronaldo katika orodha ya kuwania ‘ heshima ya mfungaji bora wa muda
wote’ wa ligi ya mabingwa Ulaya. Messi pamoja na Ronaldo wamebakiza
mabao mawili mawili kila mmoja ili kufikia rekodi ya muda mrefu ya mabao
69 ambayo inashikiliwa na mshambulizi wa zamani wa Hispania na klabu ya
Real Madris, Raul...



Didier Drogba alifunga bao
lake la kwanza katika kikosi cha Chelsea. Drogba mara ya mwisho
aliifungia Chelsea katika mchezo wa fainali wa michuano hiyo dhidi ya
Bayern Munich miaka miwili iliyopita. Akiingia uwanjani kuchukua nafasi
ya Loic Remy aliyeumia katika dakika ya 16, Drogba alifunga kwa mkwaju
wa penalti dakika saba baadae. Chelsea ilichomoza na ushindi wa kishindo
wa mabao 6-0 dhidi...


Bayern Munich wakipongezana..Kipindi cha kwanza Bayern Munich wanaongoza bao 5-0 dhidi ya As Roma
Robben aanza kutema cheche!! Afungua
pazia kwa kufunga bao na kuitanguliza Bayern mbele ya bao 1-0. Arjen
Robben ndie aliyeanza kufunga bao la mapema dakika ya 8.Mario Götze
akaongeza bao la pili dakika ya 23, Huku Robert Lewandowski akichapa bao
la tatu dakika chache kupita kwenye dakika...


Kipindi
cha kwanza dakika ya 13 Loïc Remy anaipachikia bao Chelsea baada ya
kuwakaanga mabeki wa NK Maribor akipata pasi toka kwa kepteni John Tery
na kuwatanguliza mbele ya bao 1-0 dhidi ya NK Maribor.
D. Drogba aliifungia bao la pili dakika
ya 23 kwa mkwaju maridadi wa penati na bao la tatu alifunga Timu Kepteni
wao John Terry katika dakika ya 31. Kipindi...


Seydou
Doumbia akishangilia na kupongezwa baada ya kutema cheche zake huku
akijisifu kwa kutokea benchi na kuwaongoza wenzake kusawazisha bao dhidi
ya Man City huko CSKA.CSKA
Moscow wametoka nyuma ya bao 2-0 nakusawazisha bao zote mbili kupitia
dakika ya 64 na Seydou Doumbia aliyeingia kipindi cha pili na bao la
pili kufungwa kwa mkwaju wa...
Subscribe to:
Posts (Atom)