July 17 2016 headline kutoka Ikulu Dar es salaam ni pamoja na hii Rais John Pombe Magufuli kumteua Profesa Longinus Rutasitara kuwa makamu mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya usafiri wa anga (TCAA), Rutasitara anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Nyamajeje Weggoro ambaye muda wake umemalizika.
Pia Rais
Magufuli amempandisha cheo kamishna msaidizi...
Sunday, July 17, 2016


JK Comedian
ni mchekeshaji ambaye amebarikiwa kipaji cha kuweza kuigiza sauti za
watu mbalimbali wakiwemo mastaa wa Tanzania, leo katuonyesha ubora wake
kwa kuziigiza sauti za wachekeshaji wa kundi la original comedy
linaloundwa na mastaa kama vile Masanja, Joti, Mpoki, Wakuvanga na Makregani.
Unaweza kumtazama kwenye hii video hapa chini...
Subscribe to:
Posts (Atom)