Askari
wa Kikosi cha Zima moto na Uokoaji Wakiwa wamepanda juu ya Mnara wa
Simu Uliopo Ubungo Jijini Dar Es Salaam Muda mfupi uliopita kwaajili ya
kumuokoa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Hassan Ambaye
alipanda juu ya mnara huo kwa lengo la kufikisha Ujumbe wa kutaka
kuonana na Raisi Kikwete ili aweze kumwelezea kwa kile anachodai kuwa
jeshi la polisi lilimbambikia...
Thursday, January 2, 2014


Wadau mbalimbali walitembelea sehemu ya pande za Maruku Beach ikiwa ni katika kuukaribisha mwaka mpya wa 2014.
Dj
Anold (kushoto) kutoka Kampuni ya Pro24 ya Jijini Dar es salaam na
(kulia) ni Dj Slay wa Radio Kasibante Fm 88.5 ya mjini hapa Bukoba
wakipeana neno wakati wanatoa burudani ya Muziki leo kwenye fukwe za
ziwa Victoria pande za Maruku Beach.
Vijana nao hawakubaki nyuma walikuwepo...
Subscribe to:
Posts (Atom)