Mwimbaji Jennifer Lopez mjini Sao Paulo Corinthians Stadium ndipo Kipute cha Wenyeji Brazil vs Croatia kitapigwa lakini Mwimbaji J-Lo Hatashiriki...
Monday, June 9, 2014


England stars Daniel Sturridge and Chris Smalling are surrounded by locals on the beach in Rio Sturridge is greeted by a young supporter outside England's hotelA journalist attempts to get a word with Manchester United striker Danny WelbeckWelbeck is surrounded by young fans as Smalling (left) enjoys a cold drink England trio Smalling (left), Welbeck (centre) and Jordan Henderson...



Rihanna alikabidhiwa tuzo na mchekeshaji, Kevin Hart tuzo zinazojulikana kama Guys Choice Awards zilizofanyika Los Angeles.
Rihanna akiwa na tuzo ya Most Desirable
Woman baada ya kukabidhiwa. Wiki iliyopita baada ya Rihanna kupokea tuzo
ya mitindo ya CFDA, akiwa na kivazi kikimuonesha nusu mtupu kilikuwa
gumzo kiasi cha kushambuliwa na waimbaji wa kundi la TLC kuwa anajiuza
huku Jay Z akijitokeza...


FRANCE,
wakiwa njiani kwenda Brazil kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia
zinazoanza Alhamisi, Jana waliifumua Jamaica Bao 8-0 kwenye Mechi
iliyochezwa Grand Stade Lille Métropole huko Mjini Lille, France.Hadi Mapumziko, Franza walikuwa mbele kwa Bao 3-0 kwa Bao za Yohan Cabaye, Blaise Matuidi na Karim Benzema. Kipindi cha Pili, Matuidi na Benzema waliongeza Bao zao huku Olivier Giroud...
Subscribe to:
Posts (Atom)