Real
leo hali siyo shwari!!! sare yawaangusha! Walitoka nyuma ya bao 2-0 na
kusawazisha kuwa 2-2 mpaka dakika 90 zinamalizika, Ronaldo pia akikosa
penati katika mtanange huo!Cristiano
Ronaldo akiwa hoi baada ya kubanwa leo na Timu ya Valencia CF huku Real
wakitoka Nyuma na kusawazisha bao kuwa 2-2, Sare hiyo ikiwaacha nyuma
ya pointi nne dhidi ya Vinara Barcelona.
Fowadi wa Valencia...
Sunday, May 10, 2015


Chupchupuu!!!Marouane
Fellaini aliifungia Manchester United bao la pili na kufanya 2-1 dakika
ya 78 na mtanange kumalizika United wakiibuka kidedea kwenye Uwanja wa
Selhurst Park, London mbele ya mashabiki 25009. Ushindi huu wa United
unawapa Matumaini ya Kucheza Klabu Bingwa Ulaya msimu Ujao kwani
wamefanikiwa kupata pointi 68 na wapo ndani nne bora wakiwa pia nafasi
ya nne. Ashley...
Subscribe to:
Posts (Atom)