Sunday, July 13, 2014

Msanii mkongwe kwenye game la Bongo Fleva anajulikana kwa jina la Prof Jay leo mchana alikuwa akishoot video yake mpya aliyomshirikisha Diamond inaitwa KIPI SIJASIKIA. Video hiyo iliyokuwa ikishutiwa pale Sinza Makaburini ilipo Mahakama. Video imesimamiwa wa Dir Adam Juma kutoka Next LevelProf Jay akiwa na Prod P Funk Majani,DJ Choka akiingia mahakama...
Uholanzi yaibana Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia. Uholanzi ilimaliza katika nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil baada ya kuchomeka msumari wa moto ndani ya kidonda cha wenyeji walipowalaza mabao 3-0 mjini Brasilia siku ya jumamosi. Mashabi wa Brazil waliwazomea wachezaji...
Wachezaji wanaotarajiwa kufunga mabao katika fainali Jumapili ya tarehe 13 Julai mwaka wa 2014 hatimaye imewadia . Macho yote duniani yatakuwa yanaelekea katika uwanja wa Maracana ulioko Rio Brazil ambapo mechi ya fainali ya kombe la dunia itakuwa ikichezwa. ...

waliotembelea blog