Monday, October 19, 2015

Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa Stars iliyoteuliwa hivi karibuni na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) Bwana Farough Baghozah amekutana na waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam na kuitambulisha rasmi kamati hiyo. Katika kamati hiyo ya Taifa ya Stars wapo Michael Wambura – Makamu Mwenyekiti, Bi Teddy Mapunda – Katibu, Wakili Imani Madega – Mweka Hazina, na wajumbe...
9:45 PM - BATE Borisov vs Barcelona 9:45 PM - Bayer Leverkusen vs AS Roma 9:45 PM - Arsenal vs Bayern Munich 9:45 PM - Dinamo Zagreb vs Olympiakos 9:45 PM - Dynamo Kiev vs Chelsea 9:45 PM - FC Porto vs Maccabi Tel-Aviv 9:45 PM - Valencia vs KAA Gent 9:45 PM - Zenit St Peters burg vs L...
Bojan akichonga penati Bojan Krkic kaipatia bao la kuongoza Stoke mapema dakika ya 4 kwa mkwaju wa pena...
Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya Manchester City ya Uingereza Yaya Toure, October 19 kauli yake imeingia katika vyombo vya habari vingi, kutokana na wengi wao hawakuitarajia, Toure ambaye alijiunga na Man City mwaka 2010 akitokea klabu ya FC Barcelona ya Hispania amethibitisha...
Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu (Octoba 19 hadi 22) juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA. Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia...
Na Saleh Ally INAWEZEKANA kabisa ikawa ni vigumu sana kwa watu wengi kuona ni miujiza kwa kampuni kubwa wanayoijua kusikia imefeli na mwisho inafungwa kabisa. Yote yanawezekana ndiyo maana maduka makubwa ya bidhaa maarufu kama Uchumi Supermarket, yamefilisika. Biashara inahitaji nidhamu ya juu sana, inahitaji kuwasoma wateja ambao sawa na wamiliki, wanataka nini, kwa wakati gani...
 Mwenyekiti wa Kamati ya kuisaidia Taifa Stars, Farouk Baghouza amewaomba Watanzania kujitokeza na kuichangia kamati yake ili iweze kufanikisha lengo la kuisaidia Stars. Akizungumza leo na waandishi wa habari, pamoja na kutangaza kamati kubwa na ndogondogo kwa ajili ya kuisaidia Stars, Farouk alisisitiza suala la Watanzania kujitolea. “Mwenye maji, mwenye...
MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA STARS, FAROUKH BAGHOZA AKIMSIKILIZA KATIBU WAKE, TEDDY MAPUNDA. Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa Stars iliyoteuliwa hivi karibuni na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) Bwana Farough Baghozah leo hii amekutana na waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam na kuitambulisha rasmi kamati hiyo. Katika kamati hiyo ya Taifa ya Stars...
Kamati ya kuisaidia Taifa Stars imetangaza kauli mbiu ya ushindi inayosema “NCHI YETU, TIMU YETU, TAIFA LETU, USHINDI WETU” itakayoanza kutumika kuanzia leo hii.  Kamati hiyo chini ya uenyekiti wa Farouk Baghoza  imemteua Bi Teddy Mapunda kuwa msemaji mkuu wa kamati hiyo. Timu inatarajia kuweka kambi Nje ya Nchi kwa takribani siku 12 ili kujiandaa na mechi dhidi ya Algeria...
Mwandishi wa Gazeti la Championi, Nicodemus Jonas wa pili kulia akiwa na vyeti alivyochukuwa kwa niaba ya Blog ya Salehjembe na Kampuni ya Global Publishers vilivyotolewa na Asasi ya Somi katika Tamasha la Majimaji Selebuka. Kulia ni Mkurugenzi Mwenza wa Asasi ya Somi, Prof. Julian Murchison, Dk Damas Ndumbaro- mkurugenzi mwenza wa Somi na Mkuu wa Jumba la Makumbusho mjini Songea, Balthazar Namusya. Katika...
  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale...
Uwe Rosler Uwe Rosler Aliiongoza Leeds karibu mechi 11 za Championship msimu huu 2015-2016Rosler aliteuliwa mwanzoni mwa msimu huu kuiongoza Leeds Steve Evans anajiandaa kuendesha timu hiyo baada ya Rosler kutimul...
Arsenal hawana njia yoyote ila kuwashambulia Bayern Munich Uwanjani Emirates Jumanne Usiku kwenye Mechi ya Kundi F la UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, kwa mujibu wa Meneja wao Arsene Wenger. Arsenal wamechapwa Mechi zao zote mbili za Kundi F kutoka kwa Dinamo Zagreb na Olympiakos na wapo mkiani mwa Kundi hilo na Mechi zao 2 zinazofuata ni dhidi ya Mabingwa wa Germany Bayern Munich.Ikiwa Arsenal...
MSIMAMO ULIVYO: Barclays Premier League PosLogo &TeamPWDLGDPts 1Manchester City97021621 2Arsenal9612919 3Manchester United9612719 4West Ham United9522817 5Leicester City9441216 6Crystal Palace9504215 7Tottenham Hotspur9351414 8Southampton9342313 9Everton9342113 10Liverpool9342-213 11Chelsea9324-311 12West Bromwich Albion9324-411 13Swansea City8242010 14Watford9243-410 15Stoke City8233-29 16Norwich...

waliotembelea blog