Muonekano mpya wa Staa wa Bongo Movies,Vincent Kigosi’Ray’ umezua utata baada ya
mashabiki wake kuponda tattoo zake alichora huku wengine wakimpongeza kuwa amependeza.
Umechukiza vibaya mno
delphinamkamba
Acha Uswahili piga Kazi Kaka!!! Mbona Marehem Kanumba Alisemwa SN??? AU
Umesahau Superstar Jalala!???? Kanumba alisemwa sana Lkn Aliyaacha YA
ulimwengu Akapiga Kazi Ndio maana mpaka Leo Katangulia...
Thursday, November 21, 2013
MIEZI MICHACHE KABLA HAJACHAGULIWA KUWA RAIS WA MAREKANI, OBAMA ALITEMBELEA ENEO LA KWAO HUKO KENYA.



Bw. Barack Obama akiwa na jamaa zake....


Mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha'.
Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson
Nguza 'Papii Kocha' imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali
za kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.Babu Seya na Papii
Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya
kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi,...



WANARIADHA kutoka nchi 21 wanatarajiwa
kushiriki mbio ndefu za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika
jijini Dar es Salaam Desemba 8, mwaka huu. Akizungumza na waandishi
wa habari Jijini Dar es Salaam leo, Katibu wa Kamati ya Uhuru Marathon,
Innocent Melleck alisema, kujitokeza kwa wanariadha kutoka mataifa
mbalimbali kumeongeza hamasa kubwa ya mbio hizo. Melleck alisema,...


Mwanamziki
mashuhuri Tanzania, anayejulikana kama Afande Sele Amejiunga na M4C,
kwa kuingia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo. Mji wa morogoro
ulirindima vifijo wakati Afande akizunguka na Msafara wa Piki Piki
kuwaaga rasmi wale wasio na misimamo thabiti Kisiasa, kama inavyoonekana
katika picha. kwa upande mwingine wapenzi wa CCM walionekana kuwa
nahofu na uchungu, na walihisi...


AY amesema kampuni yake ya Unity Entertainment haimsimamii tena
aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa
The Chase, Feza Kessy.
AY amekiambia kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen jana kuwa
hajawahi kukutana na Feza tangu arejee kutoka kwenye shindano hilo.
“Tangu ameenda Big Brother na akarudi hatujawahi kukutana face to face,” alisema AY.
“Kulikuwa na vitu...
Subscribe to:
Posts (Atom)