Friday, January 3, 2014

Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye atachukua nafasi ya mholanzi Ernie Brandts aliyesitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka 2013. Charles Boniface Mkwasa 'Master' aliyekua kocha mkuu wa timu ya Ruvu Shooting katika mzunguko...
Mitanage raundi ya tatu ya Kombe la zamani kabisa Duniani, FA CUP, zitachezwa Wikiendi hii, Jumamosi na Jumapili, na hii ndio hatua ambayo Klabu za Ligi Kuu England ndio zinaanza Mashindano haya huku BIGI MECHI ni ile Dabi ya London Kaskazini itakayochezwa Jumamosi Uwanjani Emirates kati ya Arsenal na Tottenham. Mabingwa wa England, Manchester...

waliotembelea blog