
EURO 2016: ENGLAND 3 vs 1 SLOVENIA, ROONEY NA DANNY WELBECK WAIPA USHINDI ENGLAND! ROONEY ACHEZA MECHI YA 100, AFUNGA BAO!
Wayne Rooney akishangilia bao lake la mkwaju wa penati baada ya kusawazisha bao na kuweka 1-1 kwa bao walilokuwa wamejifunga wao wenyewe kupitia kwa Jordan Henderson usiku huu tarehe 15.11.2014 na Mtanange huo kumalizika kwa 3-1, England wameibuka Kidedea. Wayne Rooney...