Morgan
Schneiderlin atakuwa ni wa pili kusajiliwa na klabu ya Manchester
United Msimu 2015/2016 na atajiunga na Mashetani wekundu wiki ijayo
Jumatano Dirsha la Usajili litakapofunguliwa rasmi. Manchester
United wamekamilisha usajili huo kwa kutoa kitita cha £25million kwa
Morgan Schneiderlin – na taarifa zaidi kutoka Klabuni humo zinadai kuwa
usajili unaendelea na ambao wamewaweka...
Sunday, June 28, 2015


Mshambuliaji Samuel Eto’o amejiunga na klabu ndogo ya Antalyaspor iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Uturuki msimu huu. Makao makuu ya klabu hiyo ni mji wa Antalya ambao Yanga iliwahi kuweka kambi miaka miwili iliyopita. Kabla
ya kutua hapo, Eto’o amewahi kuichezea klabu ya FC Barcelona ya
Hispania, kabla ya Inter Milan ya Italia, Chelsea ya England na Everton
ya England....


Paraguay
wameifunga Brazil usiku huu kwa Mikwaju ya Penati (3-4) kwenye Michezo
ya Copa America na Sasa kukutana uso kwa Uso na Argentina Nusu
Fainali.Robinho
akishangilia bao lake la dakika ya 15 kipindi cha kwanza kwa kuipatia
bao 1-0 dhidi ya Paraguay baada ya kupata pasi safi kama kona kutoka kwa
Dani Alves.
Mpaka mapumziko Brazil ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Paraguay....


HUKU
ikishuhudiwa na wachezaji wake wa kigeni Donaldo Ngoma na Joseph
Tetteh Zutah waliowasili Dar es Salaam leo, Yanga ilijukuta ikitoka sare
ya bila kufungana na Sports Club Villa ya Uganda kwenye mchezo wa
kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwenye
mechi hiyo maalumu kwa ajili ya kupinga mauji ya albino na mgeni rasmi
kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Subscribe to:
Posts (Atom)