Ligi
Kuu England wikiendi hii baada ya wiki mbili kupisha Mechi za Kimataifa
na Mabingwa Watetezi Manchester City ndio watafungua dimba Jumamosi
wakiwa kwao Etihad.City
wataanza mapema Jumamosi kucheza na Tottenham Hotspur na kisha kufuata
Mechi 6 zitakazoanza Saa 11 Jioni ambapo Arsenal watakuwa Nyumbani
kucheza na Hull City na Chelsea Ugenini kucheza na Crystal Palace.Jumapili zipo...
Friday, October 17, 2014


Luis
Suarez ametunukiwa Buti ya Dhahabu na Bosi wake wa zamani huko
Liverpool Kenny Dalglish na hapo hapo kuthibitisha yuko tayari kwa El
Clasico huko Spain kwenye mtanange kati ya Barcelona na Real Madrid.Suarez
alitwaa Tuzo hiyo kwa kufunga Bao nyingi za Ligi Barani Ulaya,
alipofunga Bao 31 kwenye Ligi Kuu England alipokuwa na Liverpool Msimu
uliopita zikiwa ni idadi sawa na zile alizofunga...
Subscribe to:
Posts (Atom)