Mabingwa
wa Ulaya, Real Madrid, ndio Klabu yenye thamani kubwa Duniani kwa Mwaka
wa Tatu mfululizo kwa mujibu wa utafiti wa Forbes, Magwiji wa Mahesabu
Duniani. Licha ya Thamani ya Real kuporomoka kwa Asilimia 5 na
kufikia Dola Bilioni 3.26, Mapato yao ya Dola Milioni 746 yamewaweka
Nambari Wani. Kwenye 20 Bora, Klabu 8 zinatoka Ligi Kuu England wakati Serie A ina Timu 4 ingawa ya juu...
Thursday, May 7, 2015


BARCELONA 3 vs 0 BAYERN MUNICH,
Dakika ya 77 na dakika ya 80 Messi alitikisa nyavu!Lionel
Messi aliifungia bao safi kwa shuti kali baada ya kupewa pasi na Daniel
Alves na dakika chache baadae dakika ya 80 Lionel Messi aliwachoma bao
la pili na kufanya 2-0 dhidi ya Bayern Munich ya Ujerumani baada ya
kupewa mpira na Ivan Rakitic. Kimya kimya!!Messi pia alifanya kutoa pasi safi kwa...


Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani - FIFA, Joseph Blatter
ametuma salamau za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu
nchini TFF, Jamal Malinzi kufuatia klabu ya Young Africans kutwaa
Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015. Katika salamu
hizo za Blatter, amemuomba Rais wa TFF kufikisha salamu zake za pongezi
kwa klabu ya Young Africans, wanachama, wapenzi...



Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania
Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya
kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa
Taifa, jijini Dar es Salaam leo. Mtanange huo ulimalizika kwa Azam FC
kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, MMG.
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na
Michezo,...
Subscribe to:
Posts (Atom)