Thursday, May 7, 2015

Mabingwa wa Ulaya, Real Madrid, ndio Klabu yenye thamani kubwa Duniani kwa Mwaka wa Tatu mfululizo kwa mujibu wa utafiti wa Forbes, Magwiji wa Mahesabu Duniani. Licha ya Thamani ya Real kuporomoka kwa Asilimia 5 na kufikia Dola Bilioni 3.26, Mapato yao ya Dola Milioni 746 yamewaweka Nambari Wani. Kwenye 20 Bora, Klabu 8 zinatoka Ligi Kuu England wakati Serie A ina Timu 4 ingawa ya juu...
BARCELONA 3 vs 0 BAYERN MUNICH, Dakika ya 77 na dakika ya 80 Messi alitikisa nyavu!Lionel Messi aliifungia bao safi kwa shuti kali baada ya kupewa pasi na Daniel Alves na dakika chache baadae dakika ya 80 Lionel Messi aliwachoma bao la pili na kufanya 2-0 dhidi ya Bayern Munich ya Ujerumani baada ya kupewa mpira na Ivan Rakitic. Kimya kimya!!Messi pia alifanya kutoa pasi safi kwa...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani - FIFA, Joseph Blatter ametuma salamau za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi kufuatia klabu ya Young Africans kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015. Katika salamu hizo za Blatter, amemuomba Rais wa TFF kufikisha salamu zake za pongezi kwa klabu ya Young Africans, wanachama, wapenzi...
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo. Mtanange huo ulimalizika kwa Azam FC kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, MMG. Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,...

waliotembelea blog