Monday, November 25, 2013

Mico the Best ni msanii mkubwa sana nchini Rwanda.... Kwasasa yupo hapa Tz kwaajili ya Collabo ya wimbo wake mpya Sinakwibagiwe(Sijakusahau) Pale Mj-Recordz chini ya Dr. Chaliii!  Dr. Chali mtamboni akisababisha yake.... THE MAKING OF NATAKA KULEWA (MUSIC VIDEO) Haya ni maandalizi ya awali yakifanyika,Mafundi wakifunga vyombo vya muziki...

waliotembelea blog