Saturday, June 13, 2015

Muongozaji wa video za muziki wa Afrika Kusini, Godfather ataongoza video ya wimbo mpya wa kundi la Yamond Band ‘Cheza Kimadoido’ na Diamond ndiye atakayeigharamikia. Meneja wa kundi hilo, Said Fella, amesema Yamoto Band watasafiri Jumatatu kuelekea nchini Afrika Kusini kushoot video hiyo. “Wiki ijayo tunatarajia kufanya video mpya ya Yamoto...
ALI KIBA NA MBWEMBWE ZAKE SASA ALI KIBA NA ABDU KIBA WAKIWARUSHA JE UNAWAJUA HAWA ABDU KIBA ....ALI KIBA..NA PROMOTA "DMK GLOBAL " KABLA YA SHOW KUAN...
Winga Memphis Depay amekamilisha Uhamishi wake wa Pauni Milioni 31 kujiunga na Manchester United kutoka PSV Eindhoven ya Holland. Depay, mwenye Miaka 21, amesaini Mkataba wa Miaka Minne ukiwa na nyongeza ya Mwaka Mmoja. Wakiongea baada ya kusaini Mkataba, Depay alisema hii ni ndoto yake iliyotimia wakati Meneja wa Man United, Louis van Gaal, alisema Mchezaji huyo ana nafasi kubwa kuwa...
Bondia Floyd Mayweather Jr ndio mwanamichezo aliyeingiza pesa nyingi zaidi dunia katika kipindi cha miezi 12 iliyopita kwa mujibu wa jarida la Forbes.Mayweather ameingiza kiasi cha dola milioni 300 katika kipindi cha miezi hiyo na fedha nyingi ikiwa imepatikana kutoka na pambano lake na bondia Manny Pacquiao.Manny ameshika nafasi ya pili katika orodha hiyo huku nyota wa kandanda Cristiano...

waliotembelea blog