Muongozaji
wa video za muziki wa Afrika Kusini, Godfather ataongoza video ya wimbo
mpya wa kundi la Yamond Band ‘Cheza Kimadoido’ na Diamond ndiye
atakayeigharamikia. Meneja wa kundi hilo, Said Fella, amesema Yamoto
Band watasafiri Jumatatu kuelekea nchini Afrika Kusini kushoot video
hiyo. “Wiki ijayo tunatarajia kufanya video mpya ya Yamoto...
Saturday, June 13, 2015



Winga
Memphis Depay amekamilisha Uhamishi wake wa Pauni Milioni 31 kujiunga
na Manchester United kutoka PSV Eindhoven ya Holland. Depay, mwenye Miaka 21, amesaini Mkataba wa Miaka Minne ukiwa na nyongeza ya Mwaka Mmoja. Wakiongea
baada ya kusaini Mkataba, Depay alisema hii ni ndoto yake iliyotimia
wakati Meneja wa Man United, Louis van Gaal, alisema Mchezaji huyo ana
nafasi kubwa kuwa...


Bondia
Floyd Mayweather Jr ndio mwanamichezo aliyeingiza pesa nyingi zaidi
dunia katika kipindi cha miezi 12 iliyopita kwa mujibu wa jarida la
Forbes.Mayweather ameingiza kiasi cha dola milioni 300 katika
kipindi cha miezi hiyo na fedha nyingi ikiwa imepatikana kutoka na
pambano lake na bondia Manny Pacquiao.Manny ameshika nafasi ya pili
katika orodha hiyo huku nyota wa kandanda Cristiano...
Subscribe to:
Posts (Atom)