Manchester
United wameshindwa kutetea Taji lao la International Champions Cup
baada ya kufungwa 2-0 na Paris Saint-Germain kwenye Mechi yao ya mwisho
Usiku wa kuamkia Leo huko Soldier Field, Chicago, USA na kuiacha PSG
ikibeba Kombe hilo.PSG
walifunga Bao lao la kwanza katika Dakika ya 25 baada Mpira mrefu
kutoka kwa Silva kumkuta Kipa David De Gea akiwa nafasi ovyo na Blaise
Matuidi...
Wednesday, July 29, 2015


Mbwana Samatta ni mshambuliaji wa kimataifa kutokea Tanzania anaeichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo alijiunga nayo mwaka 2011 akitokea Simba ya Tanzania na mpaka sasa amekua mmoja kati ya wachezaji mahiri wanaounda safu imara ya ushambuliaji kwa TP Mazembe na timu ya taifa ya Tanzania.
Samatta aliingia kwenye headlines siku kadhaa zilizopita baada ya kukataa...



NYASI
za Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kesho zitakanyagika kwa mchezo wa
miamba ya Jiji, Azam FC na Yanga SC katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa
Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame.
Itakuwa
mara ya pili, Yanga SC na Azam FC kukutana katika Kombe la Kagame,
baada ya mwaka 2012 kukutana katika fainali pale pale Uwanja wa Taifa wa
Dar es Salaam.
Ilikuwa
Julai 28, mwaka 2012 katika mchezo...



Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli akiingia kwenye ukumbi
wa mikutano ndani ya hotel ya Bahari Beach jijini Dar,kwenye mkutano wa
Wanahabari jioni ya leo.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akizungumza na mamia wakati wa
kutangaza adhima yake ya kujiunga na Chadema katika Hoteli ya Bahari
Beach jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa akijibu maswali...
Subscribe to:
Posts (Atom)