Tuesday, May 5, 2015

Wachezaji wa Timu ya Watford wakiwa kwenye Basi la wazi kusherekea kupanda Ligi Kuu kwenye eneo la Cassiobury Park.Ni baada ya kumaliza wakiwa nafsi ya pili wakiwafukuzia wa kwanza na kumaliza wakiwa nyuma ya pointi moja tuu ya Mabingwa Bournemouth. Huku wakiwa walikosa Ligi Kuu kwa jumla ya Misimu 6 iliyopita na sasa wanapanda Ligi kuu England kwa msimu wa 2015/16. Watford wakiongozwa...

waliotembelea blog