
Nahodha mpya wa Uholanzi, Arjen Robben alitoka uwanjani baada ya dakika 27 tu kufuatia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TIMU
ya taifa ya soka ya Iceland imejisogeza kukata tiketi ya kufuzu kucheza
mchuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya, Euro 2016 baada ya ushindi wa
penalti ya utata ya Gylfi Sigurdsson w 1-0 dhidi ya Uholanzi waliomaliza
pungufu ya mchezaji...