Warembo 15 kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania
2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini Dar es Salaam,
Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa shindano dogo la awali la
kumtafuta mrembo mwenye kipaji lililofanyika Babati Mkoani Manyara.
Pichani juu ni washindi wa tano waliofanikiwa kuingia fainali ya
shindano hilo la vipaji litakalofanyika jijini...
Tuesday, September 23, 2014



Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
MBEYA City fc imepata pigo baada ya wachezaji wake
watatu kuumia katika mechi ya jumamosi iliyopita dhidi ya JKT Ruvu iliyomalizika kwa suluhu ya bila kufungana,
uwanja wa Sokoine, Mbeya, na watakaa nje ya uwanja kwa wiki mbili.
Afisa habari wa klabu hiyo, Dismas Ten ameiambia
MPENJA BLOG mchana huo kuwa baada ya mechi iliyopita, wachezaji watano...


Na Baraka Mpenja, Dar esl salaam
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa Simba sc, Mkenya
Paul Kiongera Mungai leo amefanyiwa vipimo hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufuatia
kuumia goti katika sare ya 2-2 dhidi ya Coastal Union, jumapili iliyopita
uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Katika vipimo vya awali, Kiongera amebainika kuwa
na majeruhi sugu ya goti kama ilivyowahi kuelezwa na mtandao...


Aliyekuwa Rais wa TFF, Leodigar Chila Tenga alikuwa mchezaji muhimu wa Taifa Stars miaka ya 1980
HISTORIA inaonesha kuwa zamani mpira
wa miguu ulikuwa unachezwa kutoka ngazi ya chini mpaka juu na walipatikana
wachezaji wengi wa kulisaidia taifa.
Taifa Stars iliyoshiriki michuano ya
mataifa ya Afrika nchini Nigeria miaka ya 1980, ni ushahidi tosha juu ya suala
hilo.
Katika kipindi hicho...



SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania
(TFF) septemba 19 mwaka huu lilitangaza kupokea kwa masikitiko makubwa taarifa
zilizoandikwa kwenye baadhi ya Vyombo vya Habari zikielezea tuhuma za hujuma
kwa timu ya Taifa (Taifa Stars) katika mechi za kufuzu mashindano ya AFCON.
Taarifa hiyo ilifafanua kuwa TFF
pamoja na kutokuwa na uthibitisho wa tuhuma hizi nzito haliwezi kuzikalia kimya
na...
Subscribe to:
Posts (Atom)