1-1Kipa
wa Liverpool akijaribu kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na Zlatan
Ibrahimovic bila maanikio dakika za majeruhi 84 na mtanange kumalizika
kwa sare ya bao 1-1. Bao la Liverpool lilifungwa kwa mkwaju wa Penati na
Milner dakika ya 27 baada ya Pogba kuunawa wakati anaruka juu kuwania.Liverpool wakipeta kwa bao
...
Monday, January 16, 2017


EVERTON
Leo huko Goodison Park imewaonyesha Manchester City kwenye Mechi ya
EPL, Ligi Kuu England, kwa kuwatandika Bao 4-0 kipigo ambacho ni kibaya
mno kwa Meneja wa City katika himaya yake kwenye Mechi za Ligi. City walikuwa nyuma 1-0 hadi Haftaimu kwa Bao la Romelu Lukaku la Dakika ya 34. Kipindi
cha Pili Everton wakatandika Bao nyingine 3 katika Dakika 47, 79 na 90
Wafungaji wakiwa...


MCHEZAJI
LEJENDARI wa Manchester United Rio Ferdinand amefunguka na kutoa undani
kuhusu Mechi ya Jumapili Uwanjani Old Trafford kati ya Man United na
Liverpool ikiwa ni Mechi ya EPL, Ligi Kuu England,Hii ni Mechi ya
Mahasimu wakubwa Kihistoria huko England, waliocheza Mechi yao ya kwanza
kabisa Tarehe 28 Aprili 1894 wakati huo Manchester United ikiwa na Jina
lake la mwanzo kabisa Newton...
Subscribe to:
Posts (Atom)