Monday, January 16, 2017

1-1Kipa wa Liverpool akijaribu kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na Zlatan Ibrahimovic bila maanikio dakika za majeruhi 84 na mtanange kumalizika kwa sare ya bao 1-1. Bao la Liverpool lilifungwa kwa mkwaju wa Penati na Milner dakika ya 27 baada ya Pogba kuunawa wakati anaruka juu kuwania.Liverpool wakipeta kwa bao ...
EVERTON Leo huko Goodison Park imewaonyesha Manchester City kwenye Mechi ya EPL, Ligi Kuu England, kwa kuwatandika Bao 4-0 kipigo ambacho ni kibaya mno kwa Meneja wa City katika himaya yake kwenye Mechi za Ligi. City walikuwa nyuma 1-0 hadi Haftaimu kwa Bao la Romelu Lukaku la Dakika ya 34. Kipindi cha Pili Everton wakatandika Bao nyingine 3 katika Dakika 47, 79 na 90 Wafungaji wakiwa...
MCHEZAJI LEJENDARI wa Manchester United Rio Ferdinand amefunguka na kutoa undani kuhusu Mechi ya Jumapili Uwanjani Old Trafford kati ya Man United na Liverpool ikiwa ni Mechi ya EPL, Ligi Kuu England,Hii ni Mechi ya Mahasimu wakubwa Kihistoria huko England, waliocheza Mechi yao ya kwanza kabisa Tarehe 28 Aprili 1894 wakati huo Manchester United ikiwa na Jina lake la mwanzo kabisa Newton...

waliotembelea blog