Friday, October 16, 2015

Ofisa Biashara wa Manispaa ya Kinondoni, Ananias Kamundu (wa tatu kushoto), akipata maelezo kuhusu bidhaa za kampuni mpya ya simu za mkononi ya Halotel katika hafla ya uzinduzi rasmi wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Viettel Tanzania wamiliki wa Halotel, Nguyen Thanh Quang na wageni wengine waalikwa. Ofisa Biashara wa Manispaa ya...

waliotembelea blog