Monday, May 11, 2015

     MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: ...
Kepteni wa Liverpool Steven Gerrard amepuuza kushangiliwa na Mashabiki wa Chelsea Jana Uwanjani Stamford Bridge walipotoka 1-1 na kuua matumaini yao ya kufuzu 4 Bora na hivyo kukosa kucheza UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu ujao.Wakati akibadilishwa katika Dakika ya 79 na kuingizwa Lukas, Gerrard alishangiliwa na Meneja wa Chelsea Jose Mourinho na Mashabiki wa Chelsea na hili hasa wakitambua hiyo...

waliotembelea blog