Akiongea baada ya Mechi Gerrard alisema: "Siku zote nafurahishwa na Mashabiki wa Liverpool. Wale wa Chelsea walikuwa na heshima Sekunde chache tu na kunisakama Mechi nzima!"
Hata hivyo, Gerrard amekiri kusakamwa kwake ni kukataa kusaini kuichezea Chelsea mara 3.
0 maoni:
Post a Comment