Robin Van Persie akiifich uso!
Dakika ya 83 Robin van Persie Alifunga bao na kuifanikishia bao la pili na matokeo kuwa 3-2.Bao
za Czech Republic zimefungwa na Pavel Kaderabek dakika ya 24 na Josef
Sural dakika ya 35 bao la tatu likiwa la kujifunga kupitia kwa Robin van
Persie dakika ya 66, Bao la Netherlands limefungwa na Klaas-Jan
Huntelaar...
Tuesday, October 13, 2015


Siku 11 zimebaki kuifikia October 25
2015, ambapo Tanzania itakuwa kwenye tukio jingine kubwa na la
kihistoria, Watanzania Milioni 22.7 waliothibitishwa na Tume ya Uchaguzi
NEC, watapiga Kura kuchagua Viongozi katika ngazi ya Madiwani, Wabunge
na Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kwa...


Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Crsistiano Ronaldo ameingia tena katika headlines baada ya kutwaa tuzo nyingine ya ufungaji bora. Cristiano Ronaldo ambaye September 30 aliweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu ya Real Madrid kwa kufunga jumla ya goli 324 na kuvunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa...


Klabu ya Manchester United ya Uingereza ni moja kati ya vilabu vilivyotumia fedha nyingi katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August 2015. Toka kocha Louis van Gaal ajiunge na klabu ya Man United, uongozi wa klabu hiyo umetumia zaidi ya pound milioni 250 kwa ajili ya kusajili...


RAIS JAKAYA KIKWETE (KUSHOTO) AKIPOKEA TUZO KUTOKA KWA MWENYEKITI WA TASWA, JUMA PINTO.
Chama cha Waandishi wa
Habari za Michezo za Michezo Tanzania (Taswa) kimetoa tuzo maalum kwa Rais
Jakaya Kikwete kutokana na mchango wake mkubwa katika michezo katika kipindi
cha miaka yake 10 ya uongozi.
Kikwete alipewa tuzo hiyo
jana kwenye Ukumbi wa Mikutano...


Mchezaji
wa Manchester United Memphis Depay amekwaruzana na Mchezaji wa zamani
wa Klabu hiyo Robin van Persie wakati wa mazoezi wa Timu ya Taifa ya
Netherlands. Tukio hilo limethibitishwa na Kocha wa Netherlands Danny
Blind lakini amepuuza umuhimu wake na imefahamika kuwa lilitokea kabla
ya Mechi ya Jumamosi ya EURO 2016 ambayo Netherlands iliifunga
Kazakhstan 2-1. Kocha
Blind, ambae...


Mshambuliaji matata Mbwana Aly Samatta anayeichezea
klabu ya TP Mazembe ametajwa miongoni mwa wachezaji 24 watakaowania
tuzo ya mchezaji bora Afrika anayecheza ligi ya barani Afrika.Uteuzi
wake umetokea siku chache tu baada yake kuisaidia Taifa Stars kufika
raundi ya pili ya mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia.Magoli yake
matano katika awamu za robo fainali na nusu fainali yaliiwezesha...


UONGOZI
wa Jakaya Mrisho Kikwete Youth Park umetoa mwaliko kwa Vijana wote na
Watanzania kwa ujumla kwenda kutumia Eneo hilo jipya na la kisasa
kabisa.
Uwanja huo upo Kidongo Chekundu katikati
ya Jiji la Dar es Salaam na umejengwa kutokana na kuhudi kubwa za Rais
wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, na kwa ushirikiano wa
Klabu ya Ligi Kuu England, Sunderland, na Kampuni ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)