
CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM
Kiota Kipya Cha Maraha kimezinduliwa Kimezinduliwa Jijini Dar es
Salaam jana Jiioni. Kiota hicho Jozi Lounge, inapatikana Pande za
Msasani Village, jirani kabisa na Shule ya Msingi Msasani.
Mmiliki wa Jozi Lounge, Dismass Massawe (kushoto) akifungua
Champaign wakati wa uzinduzi wa kiota hicho. Hafla hiyo ilihudhuriwa na
wadau...