
Mkutano kuonyeshwa moja kwa moja na Star TV
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la wageni waalikwa kwenye uwanja wa People's Singida.
Katibu wa NEC
itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la kuhutubia ,wengine
pichani ni Maafisa wa Chama Makao Makuu Nyakia Ally (kushoto) na
Octavian Kimario(kulia)
Magari ya kurushia matangazo yakiwa...