Friday, September 25, 2015

Zile stori za viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA kutuhumiwa kula rushwa na kutumia madaraka vibaya, bado zinazidi kuchukua nafasi katika vyombo vingi vya habari duniani, September 25 kutoka mtandao wa dailymail.co.uk umetangaza kuwa ofisi ya mwanasheria mkuu Uswiss imemfungulia...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Cristiano Ronaldo Junior, September 25 amepiga picha nakuiweka katika account yake ya Instagram huku akiwa na...
Kabla ya dirisha la usajili halijafungwa mwezi August mwaka huu, barani Ulaya kulikuwa na stori tofauti tofauti kuhusiana na baadhi ya wachezaji nyota kuhusishwa kutaka kuvihama vilabu vyao na kujiunga na timu nyingine. Moja kati ya mastaa waliokuwa wanahusishwa kuhama timu zao ni Neymar ambaye...
  Kocha wa klabu ya Chelsea ambaye amekuwa akiingia katika headlines mara kadhaa kutokana na tabia yake ya kupenda kulumbana na kuwatoa mchezoni wapinzani wake kwa maneno yake ya kejeli. September 25 Mourinho amenukuliwa na vyombo...
   LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Septemba 26 14:45 Tottenham vs Man City 17:00 Leicester vs Arsenal 17:00 Liverpool vs Aston Villa 17:00 Man United vs Sunderland 17:00 Southampton vs Swansea 17:00 Stoke vs Bournemouth 17:00 West Ham vs Norwich 19:30 Newcastle vs Chelsea   Jumapili Septemba...
Barabara zote za Jiji la Dar es Salaam zitaelekea Uwanja wa Taifa kushuhudia Klabu kongwe Nchini Tanzania, Simba na Yanga, zenye Makao Makuu yao Eneo la Kariakoo Jijini humo, zikipambana katika pambano la Ligi Kuu  LIGI KUU VODACOM RATIBA Jumamosi Septemba 26Simba vs Yanga Coastal Union vs Mwadui Tanzania Prisons vs Mgambo Shooting JKT Ruvu vs Stand United (Uwanja wa Karume, Dar es salaam)...
 Mfanyaakzi wa Airtel, (kulia), akijaza fomu ya kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari (Wote Scheme), wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati wa ufunguzi wa wiki ya Wafanyakazi wa Airtel, makao makuu ya kampuni hiyo ya simu za mikononi, jijini Dar es Salaam, Septemba 26, 2015.  Wafanyakazi wa Airtel, wakipatiwa maelezo juu ya huduma mbalimbali zitolewazo na PPF, wkati...
         MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: Barclays Premier League PosLogo &TeamPWDLGDPts 1Manchester City65011015 2Manchester United6411413 3West Ham United6402612 4Leicester City6330412 5Arsenal6312010 6Everton623139 7Swansea City623129 8Crystal Palace630319 9Tottenham Hotspur623119 10Watford623109 11Norwich City6222-18 12West Bromwich Albion6222-28 13Liverpool6222-38 14Bournemouth6213-17 15Chelsea6213-37 16Southampton6132-16 17Aston...
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA' La Liga PosLogo &TeamPWDLGDPts 1Real Madrid54101313 2Celta de Vigo5410813 3Villarreal5410713 4Atlético de Madrid5401712 5Barcelona5401312 6Espanyol5302-59 7Deportivo de La Coruña522128 8Eibar522128 9Rayo Vallecano5212-37 10Valencia CF513106 11Real Sociedad512215 12Las Palmas512205 13Sporting de Gijón5122-15 14Real Betis5122-55 15Athletic Club5104-43 16Levante5032-43 17Getafe5104-53 18Granada...

waliotembelea blog