Friday, July 17, 2015

MABINGWA wa Italy Juventus wamesisitiza Kiungo wao Paul Pogba hauzwi licha ya Ofa kutoka Barcelona. Joan Laporta, Rais wa zamani wa Barca ambae sasa anagombea tena nafasi hiyo, ameweka kwenye ajenda yake kuwa akichaguliwa Urais basi atamnunua Pogba. Laporta yupo kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais pamoja na Rais wa sasa Josep Maria Bartomeu, August Benedito na Toni Freixa. Pogba,...
KOCHA wa timu ya APR ya Rwanda, Dusan Dule Suyagic amejigamba kuwa kikosi chake kitafanya vizuri kwenye mashindano ya Kagame inatarajiwa kuanza kutimua kesho jijini Dar es Salaam. Akizungumza baada ya mazoezi na timu yake yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Dusan alisema msimu uliopita timu yake ilishika nafasi ya pili baada ya kufungwa na El Merreikh ya Sudan hivyo msimu huu...
Arsene Wenger amesema Arsenal wanalenga kuwa Mabingwa wa Ligi Kuu England Msimu huu unaoanza Agosti 8. Msimu uliopita Arsenal walimaliza Nafasi ya 3 kwenye Ligi ambayo hawajawahi kutwaa Ubingwa tangu 2003/04 na tangu wakati huo walitoka kapa kila Msimu na kuonja Makombe Mwaka Jana kwa kutwaa FA CUP na kulitetea tena Mwaka huu. Hadi sasa Arsenal imemsaini Mchezaji mmoja tu, Kipa Mkongwe...
Kocha wa Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm (kulia) akisisitiza jambo kwa kuinua kidole juu na kufanya ukumbi kuzizima kwa kicheko alipokuwa akiongea na wandishi wa habari juu ya mchezo wao dhidi ya Gor-Mahia utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katikati ni kocha mkuu wa Gor Mahia, Frank Nuttal na kushoto ni Katibu Mkuu wa Vyama vya Soka vya nchi za Afrika Mashariki...
Raheem sterling kwa furaha akiteta jambo na Wenzake alipofanya Mazoezi kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na Klabu hiyo ya Manchester City huko Australia kwenye Ziara.Wachezaji wa City wakifanya mazoezi kujiandaa na Msimu mpya wa 2-15/2016Kwa Mara ya KwanzaYaya Toure nae alikuwemo kwenye mazoeziSterling katikati akifanya zoeziNi mazoezi kujiandaa na mechi za kirafiki katika kujiandaa na msimu...
Fabian Delph akisaini mkataba kujiunga na Klabu ya  Manchester City Delph amenunuliwa kwa kitita cha £8million  Delph wakati anaenda kufanyiwa vipimo tayari kujiunga na  Manchester C...
Kocha wa Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez alijikuta anapata wakati mgumu kujibu swali katika mkutano na wahandishi wa habari baada ya kuulizwa kama ana amini Cristiano Ronaldo ni mchezaji bora duniani? Ni kama Benitez alizuga kutoa jibu la swali hilo na hakutaka kabisa kumtaja Ronaldo kama mchezaji bora zaidi duniani, nafasi ambayo angepewa kocha wa zamani Carlo Ancelotti isingekuwa...
Klabu ya Bayern Munich imesafiri kwa muda wa masaa tisa kutoka Ujerumani hadi  China kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Bundesliga, huo huwa ni utaratibu wa vilabu vingi duniani. Kizuri zaidi kuhusu safari yao ni mapokezi walioyapata Beijing mtu wangu zilitumika dakika  30 tu kujaza  umati wa watu wasiopungua 1000 kuwapokea...
Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama...
Diego Costa ndani ya Uzi mpya Mabingwa wa Ligi kuu England msimu uliopita 2014/2015 wakiwa na Msemo wao wa  'If it's not blue it will be,' ...
Kumeibuka ripoti ya Liverpool kuja juu kuipiku Manchester United kwa kukubali kutoa Pauni Milioni 32.5 kumnunua Straika wa Aston Villa Christian Benteke. Liverpool walikuwa wakimsaka Straika huyo wa Belgium tangu Msimu uliopita kumalizika ingawa hawakuwa tayari kulipa zaidi ya Pauni 25 kumnunua lakini hali yao imebadilika ghafla baada ya kusikia Man United nao wana nia na Benteke. Baada ya...
Timu zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini Dar es Salaam si zaidi ya leo tarehe 16 mwezi wa saba tayari kwa kuanza kipute jumamosi. Kwa hivyo bila shaka hii leo kufikia jioni vikosi vyote vya timu 13 vitakuwa vimefika nchini Tanzania. Timu zote zinatakiwa kujilipia gharama za usafiri huku mambo mengine yakifanywa na waandaaji.Na kama ndiyo kwanza unasikia...
Promota wa Ngumi za Kulipwa, Shomari Kimbau (katikati) akiwa ameshika mkanda ambao utapiganiwa na bondia Abdallah Pazi (kushoto) na Iman Mapambano (kulia) kwenye ukumbi wa Vijana Kinondoni siku ya Idd pili katika uzito wa kilo 76 light heavy raundi 10. (Picha na Rahel Pallangyo) BONDIA Abdallah Pazi anatarajiwa kupanda ulingoni Idd Pili kwenye ukumbi wa Vijana Kinondoni kuchuana na...

waliotembelea blog