Tuesday, July 14, 2015

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Dar es Salaam kwenye viwanja vya Zakheem Mbagala kwenye mkutano wake wa kujitambulisha kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambapo aliahidi kuwatumikia wananchi na kutenda haki.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es Salaam kabla ya kumkaribisha mgombea wa Urais kupitia...
Raheem Sterling sung the praises of his much-maligned agent after completing his move to Manchester CitySterling, pictured with children from City's U6 academy squad, has signed for City from rivals LiverpoolSterling becomes the club's record signing after completing his £49million transfer from Liverpool on TuesdayThe former Liverpool winger signs his City contract alongside the club's director...
Van Persie alipotambulishwa leo hii RVP akiwapungia Mashabiki mikonoMashabiki wakisalimiana na Van Persie leo wakati wa Utambulisho wake akitokea Manchester UnitedKaribu sana Van Pesie! Van Persie, Mwenye Miaka 31 na Nahodha wa Netherlands, ametambulishwa rasmi hii Leo mbele ya Mashabiki 10,000 walioshangilia sana. Van Persie alikaa Miaka Mitatu Man United baada ya kujiunga nao kutoka...
Raheem Sterling akisani mkataba mpya na Klabu ya  Manchester City karibu na  Director  Txiki Begiristain. Man City rasmi wamemnunua Raheem Sterling kutoka Liverpool kwa kulipa Ada ya Pauni Milioni 44 mbele na 5 kullipwa baadae. Tangu Januari, baada ya kukataa Mkataba mpya wa Liverpool, Sterling amehusishwa na kuihama Liverpool licha ya kubakisha Miaka Miwili kwenye Mkataba...
KOCHA mpya wa Real Madrid, Rafael Benitez ataonja joto ya pambano la watani Hispania, maarufu kama El Clasico wakati Los Blancos watapokutana na Barcelona kwa mara ya kwanza mechi ya mzunguko wa kwanza wa La Liga Novemba 8 Uwanja wa Bernabeu. Mechi ya marudiano baina ya miamba hao walioweka kwenye 'viganja vyao' soka ya Hispania itafanyika...
Liverpool 4 vs 0 True Thai All StarsKikosi cha Liverpool kilichowafunga Thai All stars bao 4-0 leo kwenye mchezo wa kirafiki Bao za Liverpool leo lizilifungwa na Lazar Markovic dakika ya 3, Mamadou Sakho dakika ya 42, Adam Lallana dakika ya 52 na lile la dakika ya 86 la Mbelgian Origi wameipa Ushindi mnono Timu ya Liverpool leo wakiongozwa...
Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Salum Madadi (kushoto) akimtambulisha Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (wa pili toka kushoto) wakati wa ufunguzi wa kozi ya makocha wa magolikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam jana. Wa pili toka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Said Mohamed na kulia ni Katibu Mkuu wa TFF,...
Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Salum Madadi (kushoto) akimtambulisha Mkufunzi wa FIFA Elaxander kutoka Ufaransa (wa pili toka kushoto) wakati wa ufunguzi wa kozi ya makocha wa magolikipa inayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam jana. Wa pili toka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu nchini, Said Mohamed na kulia ni Katibu Mkuu wa TFF,...
Fabio Capello ameondolewa kama Kocha Mkuu wa Russia baada kushika wadhifa huo kwa Miaka Mitatu. Mwaka Jana, Capello alisaini nyongeza ya Mkataba wake kwa Miaka Minne ambao ungemweka huko Urusi hadi baada ya Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018 ambazo Urusi ndio Wenyaji wake. Lakini, baada ya matokeo mabovu, ambayo yameifanya Russia iwe na Pointi 8 tu katika Mechi 6 za kufuzu Fainali...
Waziri wa Ujenzi nchini Tanzania, John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame siku ya Jumamosi, Julai 18 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Magufuli baada ya kufungua rasmi michuano hiyo, atashuhudia mchezo wa ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kagame, mechi itakayowakutanisha miamba ya Afrika Mashariki timu ya Yanga...
Stori  za watu kutumia jeneza katika shughuli zao mbalimbali zimeendelea kutokea sehemu nyingi duniani..Millardayo.com iliwahi kuandika stori ya bibi harusi  kutumia jeneza kuingia nalo ukumbini  na nyingine ilimuhusu mwanafuzi kuingia kwenye mahafali yake akiwa ndani ya jeneza. Stori nyingine inayofanana na hizo imeingia kwenye headlines leo inatokea Singapore baada...
Joaquin “El Chapo” Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha kutoroka kwenye Gereza lenye ulinzi mkubwa kimefanya kila mtu ashtuke !! Jamaa alikamatwa kama mwaka 2014, juzi July 12 2015 ikaibuka BREAKING NEWS  ya jamaa kutoroka Gereza la Altiplano...

waliotembelea blog