Nyota
wa soka aliyefanya vizuri michezo ya Shule za Sekondari (UMISETTA)
Mussa Bakari akiwasili ndani ya uwanja cha ndege wa kimataifa wa Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere kutokea katika kambi ya Kimataifa ya Copa
Coca-Cola iliyofanyika jijini Paris nchini Ufaransa.
Meneja
Msaidizi wa Chapa ya Coca – Cola, Mariam Sezinga (kushoto) akimpokea
kwa shangwe nyota wa soka aliyefanya...
Friday, July 8, 2016



Waziri
wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnaye akizungumza katika
uzinduzi wa mashindano ya magari jijini Dar es Salaam leo.
Waziri
wa Habari, sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnaye akiwa amenyanyua
bendera ya Taifa juu kuashiria uzinduzi wa Mashindano ya Mbio za Magari
ya 2016 jijini Dar es Salaam leo .Kulia kwa Nape ni Katibu wa Balaza la
Michezo Tanzania(BMT), Mohamed...


Mkufunzi
wa Liverpool Jurgen Klopp ameweka kandarasi mpya ya miaka sita na
mmiliki wa klabu hiyo akisema ingekuwa makosa kutompatia kandarasi
ndefu.Klopp alijiunga na Liverpool mnamo mwezi Oktoba ,baada ya kukubali mkataba wa pauni milioni 15 ambao umeongezwa hadi mwaka 2022.''Uongozi wake utakuwa muhimu katika kufanikisha malengo yetu'', alisema mmiliki wa Liverpool. Klopp aliifikisha...


PepMkufunzi mpya wa Manchester City Pep Guardiola anasema kuwa alienda nchini Uingereza kuthibitisha kuwa inawezekana kucheza mchezo mzuri katika ligi ya Uingereza.Gurdiola
mwenye umri wa miaka 45 ambaye ametia kandarasi ya miaka mitatu
,amesema kuwa alipendelea kusalia kuifunza Bayern Munich,lakini alitaka
mtihani mwengine katika ukufunzi wake.Raia
huyo wa Uhispania amekiri kwamba alikuwa...



Baada
ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Mecky Maxime ametua Kagera Sugar.
Maxime ambaye alikuwa akiinoa Mtibwa Sugar, sasa amesaini mkataba wa
kuinoa Kagera Sugar. Meneja wa Kagera Sugar, Mohammed Hussein amesema
Maxime ndiye kocha mkuu akichukua nafasi ya Adolf Rishard.
Awali, kulikuwa na taarifa za kuondoka
kwa Maxime kwenda Kagera, lakini uongozi wa Mtibwa Sugar ulilikataa
hilo....
Subscribe to:
Posts (Atom)