Tuesday, February 11, 2014

Soka | Barclays Ligi Kuu Ligi Kuu ya viongozi wa Chelsea walikuwa kibao na sucker 87 dakika Punch kama walikuwa uliofanyika kwa sare ya bao 1-1 na mnyenyekevu West Bromwich Albion juu ya Jumanne, kuwapatia mpango cheo mbio nyuma Arsenal na Manchester City. Ilikuwa inaonekana kama upande Jose Mourinho ingekuwa hoja pointi nne wazi baada ya beki wa Branislav...
STAA wa Bayern Munich Franck Ribery hataweza kucheza Mechi ya UCL, UEFA CHAMPIONS LIGI, Uwanjani Emirates wakati Arsenal na Bayern zitakapocheza Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano hapo Jumatano Februari 19. Vigogo hao wa Germany, ambao ni Mabingwa wa Nchi hiyo na pia ndio Mabingwa Watetezi wa Ulaya, wamethibitisha kuwa Ribery atakuwa nje kwa Wiki mbili baada Alhamisi iliyopita kufanyiwa...
Ndege ya usafiri ya jeshi imeanguka ikiwa imebeba zaidi ya watu 100. Redio ya taifa inasema ndege hiyo imeanguka katika eneo la milima katika jimbo la Oum El Bouaghi kusini mashariki mwa mji mkuu , Algiers na ilikuwa imewabeba abiria 103 wakiwemo wafnyakazi wa ndege hiyo. Kuna taarifa kwamba ndege hiyo ilikuwa imebeba familia za maafisa wa jeshi. Ndege hiyo ya wanajeshi inaripotiwa kuanguka...
 Mgomo wa wafanyabiashara kahama bado unaendelea kwani tangia asubuhi maduka hayajafunguliwa  wao wafanyabiashara wanasema bado mgomo unaendelea ili waweze kufikisha ujumbe  kuhusu kukataa kutumia mashine za EFD (MAXMALIPO) ili zisiendelee kutumika nchi nzima ya tanzania  maduka kama yanavyoonekana tangia asubuhi mpaka sasa hivi jioni ...
TIMU ya wasichana ya Tanzania imekabidhiwa zawadi ya Sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana walio chini ya umri wa miaka 17 ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars iliyofanyika Septemba mwaka jana nchini Nigeria. Timu hiyo ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Kenya bao 1-0 lililofungwa na Donisia Daniel katika fainali hiyo. Akipokea fedha hizo jana (Februari 10, 2014)...
WAKATI  wafanyabiashara  wakiapa  kuendelea na mgomo wao hadi siku ya jumatano baada ya  kukutana na mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa na mkuu wa mkoa wa Iringa pamoja na TRA ,jeshi la polisi  mkoani hapa  limewataka  wafanyabiashara  wanaotaka kufungua maduka yao kufungua  bila kutishwa na mtu na kama ...
MC Chaku  akiwa na mmoja ya wakazi wa Mbagala tayari kwa kuchagua mshindi wa Championi Shinda Mahela. ...Kuponi za Championi Shinda Mahela zikiwa tayari kwa ajili ya droo. ...Mchezesha droo akichambua kuponi katika Viwanja vya Mbagaka Zakhem jijini Dar. MC Chaku akimfunga kitambaa mkazi wa Mbagala ili amchague mshindi wa Championi Shinda Mahela Msimamizi wa Bodi ya...
    Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Habbib Gunze (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha jana Februari 10, 2014 juu ya Kongamano la  9  la CTO la mabadiliko ya mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda Dijitali (DBSF) ambao utafanyika kuanzia 11 – 14 Februari, 2014 Naura Springs Hotel,...
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda Rais Museveni amekuwa mamlakani kwa kipindi cha miaka 28. Wabunge wa chama tawala nchini Uganda kwa kauli moja wanamtaka kiongozi wa chama chao ambaye pia ni rais wa nchi hiyo Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwania urais tena kwenye uchaguzi...
Mkuu wa mkoa wa Iringa, Dr. Christina Ishengoma leo amezungumza na wafanya biashara wa manispaa ya Iringa katika ukumbi wa community centre uliopo eneo la Kitanzini katika manispaa ya Iringa, mada kuu ilikuwa inahusu mgomo wa wafanya biashara kupinga mashine mpya za kutoa risiti zilizotolewa na TRA ili zitumike katika biashara zao. baadhi ya wafanya biashara walio hudhuria...

waliotembelea blog