Tuesday, October 20, 2015

Ivan Rakitic akipongezana na  Jordi Alba baada ya kuichapa  BATE Borisov kipindi cha pili Mlinda mlango  Sergei Chernik akifanyiwa mbaya na Rakitic Luis Suarez akifanya yake kwa wachezaji wa BATE Mchezaji wa BATE Borisov Maksim Volodko akimkaba kwa nyuma  Sergi Roberto leo jumanne usiku Volodko na  Javier Mascherano wakipambana kwenye  Champions League  Neymar...
Baooo!2-0Ozil akishangilia bao lake la dakika za majeruhi!Balaa!Olivier Giroud dakika ya 77 aliipatia Arsenal bao na kufanya 1-0 dhidi ya Bayern Munich. Dakika ya 90 kwenye muda wa lala salama  Arsenal waliongeza kasi na kuweza kupata bao na mtanange kumalizika 2-0, Bao likifungwa na Mesut Ozil.Alama tatu muhimu!Petr Cech akiokoa langoni mwakeTheo Walcott akijishangaa Kipa wa Bayern...
Willian akiachia shuti Meneja wa Chelsea  Jose Mourinho kalazimishwa sare na Dynamo Kiev Cesc Fabregas akipambana na  Yevhen Khacheridi Diego Costa akifanya yake Mashabiki wa Chelsea Piga nikupige dakika 90 hakuna aliyeliona lango la mwenzake! Hapa siyo England!!! Cesc Fabregas akiteta jambo na refa Damir Skomina Nemanja Matic akiangalia mpiraEden Hazard aliachia shuti na kugonga...
FIFA Leo imetangaza Listi ya Wachezaji 23 ambao watawania Tuzo ya Mchezaji Bora Duniani wa Mwaka 2015, FIFA Ballon d'Or. Miongoni mwa hao ni Cristiano Ronaldo, ambae ndie alietwaa Tuzo hiyo kwa Miaka Miwili iliyopita huku Lionel Messi akitajwa pia na ambae wengi wanadhani Mwaka huu ni zamu yake. Mshindi Ballon d'Or huamuliwa kwa Kura inayohusisha Makocha na Makepteni wa Timu za Taifa Wanachama...
Wenger na GuardiolaMSIMAMO/MECHI ZA LEO&nb...
Kocha Mkuu Pellegrini akiwaangalia kiufundi Vijana kazi wakePellegrini akitoa darasaKompany na Kevi De BruyneKikosi cha City MazoeziniMbele ya Kocha wao Pellegrini Vicent Company na wenzake kwenye mazoezi kujiandaa vyema kwa Uefa Champio...
Wachezaji watatu wa Manchester City Sergio Aguero, Kevin De Bruyne na Yaya Toure ni miongoni wa wachezaji 23 walioorodheshwa kushindania tuzo ya Ballon d'Or.Kiungo wa Chelsea Eden Hazard na mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez pia wamo kwenye orodha hiyo ya kuteua mchezaji bora wa mwaka duniani. Tuzo hiyo ya Ballon d'Or kwa sasa inashikiliwa na Cristiano Ronaldo wa Real Madrid...
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, amejitetea kuwa kinachodhaniwa ni lugha mbovu aliyotumia baada ya kushindwa na Southampton ni kwa kuwa Kiingereza si lugha yake ya mama.Mourinho alifungiwa mechi moja na kupigwa faini ya Pauni za Uingereza 50,000 na shirikisho la Kandanda la Uingereza. Alidai kuwa maafisa wa kandanda nchini humo wanaogopa kuipa timu yake penalti inayostahili. Madai ya Morinho...
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini amesema bado ana moyo wa kutaka kumrithi Sepp Blatter kama Rais wa shirikisho la Kandanda duniani FIFA, licha ya kupigwa marufuku ya siku 90 ili kupisha uchunguzi wa madai ya ufisadi dhidi unaoendelea dhidi yake. Platini, mpaka sasa anatumikia adhabu baada ya kupokea Pauni za Uingereza milioni 1.35 kutoka kwa Blatter mwaka ...
KIKOSI cha Wachezaji 20 wa Manchester United Leo hii wamesafiri kwenda Moscow, Urusi ambako Kesho Usiku watacheza Mechi yao ya Kundi B la UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, na CSKA Moscow.Kikosi hicho kimeundwa na Wachezaji 18 ambao ndio walicheza na kuwa Benchi Jumamosi iliyopita huko Goodison Park walipoichapa Everton Bao 3-0 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England. Wachezaji Wawili walioongezwa...

waliotembelea blog