Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu.Akihudumia
kipindi chake cha pili katika kilabu hiyo rais huyo wa Ureno mwenye
umri wa miaka 52 aliiongoza Chelsea kubeba taji lao la kwanza la ligi ya
Uingereza katika kipindi cha miaka mitano pamoja na kombe la Ligi.
Jose Mourinho ameiongoza Timu ya Chelsea na kuibuka na...
Saturday, May 23, 2015


Klabu
ya Ligi Kuu England Sunderland hivi karibuni imetembelea Tanzania
ikiongozwa na Mkuu wao wa Kuendeleza Soka Kimataifa, Graham Robinson,
ambae alizuru Migodi Miwili inayomilikiwa na Acacia Mining ili kutoa
Mafunzo ya Soka kwa Jamii zinazoishi jirani na Migodi hiyo.Acacia Mining plc, ndiyo inayomiliki Migodi ya Dhahabu ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara.Ziara
hiyo ya Graham ni Mradi...
Subscribe to:
Posts (Atom)