SAFU
ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, imekamilika
Jana na Timu za England, Arsenal na Chelsea, zilishinda hapo Jana na
kutinga Mtoano. Timu hizo zinaungana na Chelsea iliyofuzu mapema ikiwa na Mechi 2 mkononi.
Juzi Man United ilitolewa UCL na kutupwa UEFA EUROPA LIGI baada ya kumaliza Nafasi ya 3 kwenye Kundi B. Man United sasa itacheza Raundi ya Mtoano ya Timu...
Subscribe to:
Posts (Atom)