Manchester United wameshinda Mechi yao
ya kwanza Msimu huu kwenye Ligi Kuu England wakati Kikosi chao kipya
kikiisambaratisha QPR kwa Bao 4-0 ndani ya Old Trafford huku Angel De
Maria aking’ara na Wachezaji wapya Marcos Rojo na Daley Blind wakicheza
Mechi yao ya kwanza na kuleta uhai mkubwa.Juan Mata akifanya yake..
Bao 3 kabla ya Mapumziko, zilizofungwa
na Di Maria, Ander Herrera...
Monday, September 15, 2014



Kikosi cha Simba sc kilichokwenda Mtwara jumamosi na kutoka suluhu pacha ya bila kufungana (0-0) dhidi ya wenyeji Ndanda fc
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
WEKUNDU wa Msimbazi , Simba SC, wanaenda kuweka
kambi tena Visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya ligi kuu soka
Tanzania bara inayotarajia kuanza
kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu.
Simba chini ya kocha Mzambia...
Subscribe to:
Posts (Atom)