Thursday, December 10, 2015

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo, usiku wa December 8 katika mchezo dhidi ya Malmoe FF wa kuhitimisha mechi za Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya alivunja rekodi yake mwenyewe aliyoiweka msimu uliyopita, kabla...
Baada ya mechi za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kumalizika usiku wa December 9 na kushuhudia vilabu 16 vikitinga hatua ya 16 bora na vilabu vingine 16 vikiaga mashindano hayo, December 10 ilikuwa ni zamu ya kushuhudia...
Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni...
KOMBE LA DUNIA kwa Klabu linaanza huko Japan Alhamisi Desemba 10. Washiriki wa Mashindano haya ni Barcelona, Mabingwa wa Ulaya, River Plate, Mabingwa wa Marekani ya Kusini, America ambao ni Mabingwa wa Nchi za Marekani ya Kati na Kaskazini na Visiwa vya Carribean, Mabingwa wa Afrika TP Mazembe, Guangzhou Evergrande, Mabingwa wa Asia na Bingwa wa Kanda ya Oceania. Pia wapo Sanfrecce Hiroshima,...
Willian akishangilia bao lake baada ya kuifunga Timu ya FC Porto ikiwa ni bao la pili Jose Mourinho chini akiendesha mapambano ya kuwakumbusha wachezaji wake Willian alifunga bao la pili kwa shuti kaliDiego Costa akipongezwa na Hazard Diego aliachia shuti kali ambalo lilizaa bao la kujifunga wao wenyewe FC Porto mbele ya Mlinda mlango wao Casillas....
SAFU ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, imekamilika Jana na Timu za England, Arsenal na Chelsea, zilishinda hapo Jana na kutinga Mtoano. Timu hizo zinaungana na Chelsea iliyofuzu mapema ikiwa na Mechi 2 mkononi. Juzi Man United ilitolewa UCL na kutupwa UEFA EUROPA LIGI baada ya kumaliza Nafasi ya 3 kwenye Kundi B. Man United sasa itacheza Raundi ya Mtoano ya Timu...
Garry Monk. Klabu ya Swensea City imemtupia virago kocha wake Garry Monk baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya 11 ambayo ameingoza Swansea kwenye ligi ya England msimu huu.Kocha huyo mwenye umri wa miaka 36 amekuwa kwenye kikosi hicho kwa zaidi ya miaka 11 akianza kama mchezaji lakini baadae mwaka 2014 akabidhiwa timu hiyo kama kocha mkuu akichukua nafasi ya Michael Laudrup.Kipigo cha...

waliotembelea blog