RAIS MAGUFULI KUENDELEZA JITIHADA ZA MARAIS WALIOPITA KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI.
Rais John Magufuli akiwapungia wananchi waliofurika kwenye
uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam wakati alipoingia kwenye uwanja huo
kuongoza sherehe za miaka 55 ya Uhuru Desemba 9, 2016. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Rais John Magufuli akikagua
gwaride katika sherehe za...
Friday, December 9, 2016



Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubia wananchi waliojitokeza katika sherehe za miaka 55 ya
Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiwapungia wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 55 ya
Uhuru...


Waamuzi
waliochezesha mchezo namba 49 kati ya Yanga na Simba, Martin Saanya na
Samweli Mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania
Bara, huku suala lao likipelekwa kwenye Kamati ya Waamuzi ili
ishughulikie tatizo lao kitaalam. Maamuzi hayo yamefanyika baada
ya Kikao cha Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji ya Bodi ya ligi, kuwaita
na kuwahoji na kuangalia mkanda wa...


EPL, LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Desemba 10 15:30 Watford vs Everton 18:00 Arsenal vs Stoke City 18:00 Burnley vs Bournemouth 18:00 Hull City vs Crystal Palace 18:00 Swansea City vs Sunderland 20:30 Leicester City vs Manchester City Jumapili Desemba 11 15:00 Chelsea v West Bromwich Albion 17:15 Manchester United v Tottenham Hotspur 17:15...
Subscribe to:
Posts (Atom)