Wednesday, July 30, 2014

Pichani ni Miss Tanzania USA 2014, Joy Kalemera katika pozi kabla ya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha “Mimi na Tanzania” Hoyce Temu nchin Marekani. Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang’ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya...
Sam Mapenzi (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya fukwe za Escape One katika show maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya Eid-El Fitr huku akipewa back Vocal na Sony Masamba pamoja na Aneth Kushaba AK47. Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band katika kusheherekea sikukuu ya Eid El Fitr...
NA Mahmoud Ahmad Arusha WANACHAMA wa vikundi vya kuweka na kukopa (VIKOBA) mkoani Arusha wametakiwa kutumia na kupanga vizuri matumizi ya fedha wanazokusanya ili ziwasaidie kutoka daraja moja hadi jingine katika maisha yao. Kauli hiyo ilitolewa  wilayani Arusha na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha   alipokuwa akiendesha utunishaji wa fedha...
  Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Getrudi Mpaka akitoa salam za Mkoa huo kabla ya kuukabidhi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mjini Magharibi leo july 30.   Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck Sadiki akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis, makabidhiano hayo yamefanyika uwanja wa ndege mkongwe Kiembesamaki...
  Ajali mbaya imetokea eneo la Pandambili ikihusisha Basi la MOROBEST linalofanya safari za Mpwapwa – Dar - Inadaiwa watu wengi wamepoteza maisha Mtandao huu unafuatilia taarifa kutoka eneo la tuki...

waliotembelea blog