Wednesday, December 18, 2013

Kocha wa muda wa Spurs Tim Sherwood Kocha wa muda Tim Sherwood alipofika uwanjani na kocha mwenzake Chris Ramsey kushotoKipindi cha pili dakika ya 67 Emmanuel Adebayor akawapatia bao Spurs.Ndani ya dakika 5 za kipindi cha pili na dakika za lala salama West Ham wakasawazisha na kuwaongezea tena bao Spurs, Bao zikifungwa dakika ya 80 na Matthew Jarvis na dakika ya 85 mfungaji ni Modibo Maíga....
Raja Casablanca scored twice in the last 10 minutes to stun Brazil's Atletico Mineiro in their Club World Cup semi-final and earn a place in the final against Bayern Munich. Raja, who qualified as champions of host nation Morocco, took the lead early in the second half when Mouhssine Iajour was sent clear on the right...
Mpira ulistishwa kwa muda baada ya kutokea upepo mkali na hali ya hewa mbaya huku mabarafu yakianguka hali iliyomfanya mwamuzi kusimaisha mpira kwa dakika chache kama 10 kwenye uwanja wa Stoke City Britannia Stadium.Kipindi cha kwanza kilimalizika wakiwa nguvu sawa ya bila kufungana. Ndipo kipindi cha pili United wakafanya mabadiliko Anderson akatoka na nafasi...
CHEGE NA TEMBA WASEMA KUIFANYIA VIDEO NGOMA YAO YA TUNAFURAHI, ITAKUA NI KURUDI HATUA NNE NYUMA, BADALA YAKE WAKO KTK MICHAKATO YA KUZIFANYIA VIDEO PROJECT ZAO MPYA MPYA, NA KUANZIA LEO CHEGE ANA SHOOT MUSIC VIDEO YA CHAPA NYINGINE, CHINI YA DIRECTOR ADAM JUMA WA VISUAL LAB AMBAYE SIKU HIZI KWENYE VICHUPA ANAVYO VISIMAMIA HUWA ANATUMIA SIGN YA AJ BADALA YA VISUAL LAB, HII NI TANGU ATANGAZE...
Ndege aina ya Boeing 767 inayosadikiwa kuwa ni ya Shirika la Ndege la Ethiopia imetua kwa dharura majira ya saa tisa alasiri katika kiwanja cha kurushia ndege ndogo cha Arusha badala ya kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro, KIA. Abiria zaidi ya mia mbili waliokuwemo kwenye ndege hiyo wamenusurika kifo, wanasubiri msaada ngazi waweze...
  Hata hivyo, Waingereza ni watu makini na ambao linapokuja suala kama hilo, huweza kutumia baadhi ya nguvu kulisukumiza mbali kana kwamba haliwahusu kabisa. KAMA siku 10 zilizopita kuliibuka habari kuhusu kashfa ya upangaji matokeo katika soka la England. ...
  Jaquar is one of Kenya’s highest earning musicians and with good reason. The lad has been releasing hit after hit and he has honestly displayed lasting power. So it comes as no surprise that when he wants to treat himself, he spends sufficiently to by a state of the art luxury vehicle and as I told you earlier in the year, he settled for a Jaguar XJ Source:...
Mbunge wa Iramba Magharibi, mh. Mwigulu Nchemba  leo  asubuhi  aliomba  mwongozo  wa  Spika  wa  bunge  akimtuhumu Mh. Mbowe  kwamba  amekuwa  akitumia  madaraka  yake  vibaya  kwa  kuchanganya  mapenzi  na  kazi, hali  inayolichafua  bunge  la  Tanzania  katika ...
  Kivuko kikubwa cha Mv Magogoni kinachofanya safari zake kati ya Kivukoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo majini katika bahari ya Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya kazi,Mpaka sasa sababu ya injini kushindwa kufanya kazi hazijatoka. Shuhuda...
KOMBE la CAPITAL ONE CUP, leo Jumanne na kesho Jumatano litakuwa na Mechi zake za Robo Fainali. USIKU huu Jumanne ni Leicester City, Timu inayocheza Daraja la Championship, kuwa Wenyeji wa Vigogo wa Ligi Kuu England, Manchester City, na Mechi ya pili ni ya Timu za Ligi Kuu England huko Stadium of Light kati ya Sunderland na Chelsea. Wachezaji wa Manchester City wakipongezana na kumpongeza...

waliotembelea blog