USIKU huu Jumanne ni Leicester City, Timu inayocheza Daraja la Championship, kuwa Wenyeji wa Vigogo wa Ligi Kuu England, Manchester City, na Mechi ya pili ni ya Timu za Ligi Kuu England huko Stadium of Light kati ya Sunderland na Chelsea.
Edin Dzeko ameifungia bao la pili dakika za lala salama dakika ya 41 nakufanya 2-0 na kwenda mapumziko City wakiwa vifua wazi kwa bao 2.
Dakika ya 53 Edin Dzeko akafunga tena bao jingine la tatu.
Lloyd Dyer akifunga bao lao la pekee kipindi cha pili dakika ya 77 na mpira kumalizika kwa 3-1
Lee Cattermole alipojifunga dakika ya 46 na chelsea kuzawadika kwa bao hilo lililodumu kwa muda
Askari akianguka chini baaja ya kushindwa kukamata jamaa aliyeingia kifua wazi uwanjani
Shabiki alishangilia kama vile yeye kafunga bao...
Jose Mourinho na Gus Poyetwakabaki wanacheka kwa muda!! baada ya kushuhudia shabiki hilo likishangilia na kuona kama linamwongezea giza mzee Mourinho...
Dakika za majeruhi dakika ya 88 Fabio Borini akaisawazishia bao Sunderland na mtanange kuwa 1-1 na mpira kumalizika na kuongezewa muda wa dakika 30.
ROBO FAINALI
Jumanne Desemba 17
Leicester 1 v Man City 3
Sunderland 2 v Chelsea 1
LEO Jumatano Desema 18
Stoke City v Manchester United
Tottenham v West Ham United
0 maoni:
Post a Comment