Tuesday, February 17, 2015

LEO Jumatano Mabingwa Watetezi wa UEFA CHAMPIONS LIGI Real Madrid wanarudi tena Veltins-Arena, Mjini Gelsenkirchen huko Germany ambako Msimu uliopita kwenye hatua kama hii ya Mashindano haya haya Real iliwanyuka Wenyeji wao Schalke 6-1. Hata hivyo safari hii Schalke wako chini ya Meneja wa zamani wa Chelsea aliewabebesha Kombe hili Mwaka 2012 Roberto Di Matteo lakini wana kibarua kigumu...
Kipindi chs pili dakika ya 54 Edinson Cavani aliisawazishia bao PSG kwa kichwa baada ya kupokea krosi kutoka kwa Blaise Matuidi kama kona na kuweza kusawazisha bao kwa kichwa na kufanya 1-1. Mchezo huu utaendelea kwenye marudiano huko Stamford Bridge Chelsea watakapoikaribisha na wao PSG ili kuamua ni Timu gani inasonga hatua inayofuata ya Robo Fainali.Dakika ya 36 Branislav Ivanovic...
UEFA CHAMPIONS LIGI inarudi tena dimbani Jumanne Februari 17 kwa Mechi mbili za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 wakati FC Shakhtar Donetsk ya Ukraine watakapokuwa Wenyeji wa Bayern Munich na Paris Saint-Germain kuikaribisha Chelsea ndani ya Parc des Princes Jijini Paris Nchini France.Jumatano Raundi ya Mtoano ya Timu 16 pia itaendelea kwa Mechi mbili ambapo Mabingwa Watetezi Real Madrid...

waliotembelea blog